Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,015
- 828,774
Mlikuwa darasa moja lakini hatima hazikufanana.. Mlijenga urafiki mkashirikiana katika mengi. Lakini hatima hazikufanana.
Wengine mkafikia hatua ya kuwa familia kabisa.. Kwenu kwao na kwao kwenu. Lakini hatima hazikufanana
Mlikaa dawati moja mkasaidiana masomo, wengine mkacheza pamoja lakini hatima hazikufanana
Darasa moja mkifanana karibia kila kitu, umri sare za shule, family background lakini hatima hazikufanana
Wakumbuke watu wako mliokuwa nao darasa moja leo hii wako wapi na wewe uko wali
Ulikaa na waziri dawati moja
Ulikaa na jambazi dawati moja
Ulikaa na professor, na daktari na engineer
Ulikaa na marehemu😩😔 na mwasiasa mkubwa na tajiri mkubwa, na msanii marehemu.. Fumbo la maisha.. Fumbo la hatima..!
Wengine walikuwa marafiki wakubwa leo ni maadui wakubwa na kinyume chake
Je wewe uko fungu gani? Uko kundi gani? Je wewe ni mmojawapo wa kujitapa kwa watu kwamba ulisoma na fulani na ulimsaidia sana darasani!?🤔😔 Ama wewe ni mfano kwa wengine
Achana na chuo .. Waangalie watoto wanapomaliza shule ya msingi (huwa wanajiita L.Y) Walivyo na furaha ya hatima. Hawajui nini kinawasubiri
Ni ingizo jipya mtaani kwenye dunia isiyo na huruma
Wanaoendelea ni wengi wanaoishia mwanzoni ama katikati ni wachache.. Mimba, ndoa, wizi, madawa jela, 🥺😭 uchizi, nknk
Vita ya hatima.. Ni vita ya kiroho.. Asili, ndoto, mipango na kudra hubeba hatima zetu
Unakumbuka ulipokuwa unaulizwa unataka kuwa nani maishani!?
Unakumbuka mlivyokuwa mkisimuliana vile utakuwa nani ukiwa mkubwa?
Vita ya hatima! Wako wapi watu wako❗❗❗
Wengine mkafikia hatua ya kuwa familia kabisa.. Kwenu kwao na kwao kwenu. Lakini hatima hazikufanana
Mlikaa dawati moja mkasaidiana masomo, wengine mkacheza pamoja lakini hatima hazikufanana
Darasa moja mkifanana karibia kila kitu, umri sare za shule, family background lakini hatima hazikufanana
Wakumbuke watu wako mliokuwa nao darasa moja leo hii wako wapi na wewe uko wali
Ulikaa na waziri dawati moja
Ulikaa na jambazi dawati moja
Ulikaa na professor, na daktari na engineer
Ulikaa na marehemu😩😔 na mwasiasa mkubwa na tajiri mkubwa, na msanii marehemu.. Fumbo la maisha.. Fumbo la hatima..!
Wengine walikuwa marafiki wakubwa leo ni maadui wakubwa na kinyume chake
Je wewe uko fungu gani? Uko kundi gani? Je wewe ni mmojawapo wa kujitapa kwa watu kwamba ulisoma na fulani na ulimsaidia sana darasani!?🤔😔 Ama wewe ni mfano kwa wengine
Achana na chuo .. Waangalie watoto wanapomaliza shule ya msingi (huwa wanajiita L.Y) Walivyo na furaha ya hatima. Hawajui nini kinawasubiri
Ni ingizo jipya mtaani kwenye dunia isiyo na huruma
Wanaoendelea ni wengi wanaoishia mwanzoni ama katikati ni wachache.. Mimba, ndoa, wizi, madawa jela, 🥺😭 uchizi, nknk
Vita ya hatima.. Ni vita ya kiroho.. Asili, ndoto, mipango na kudra hubeba hatima zetu
Unakumbuka ulipokuwa unaulizwa unataka kuwa nani maishani!?
Unakumbuka mlivyokuwa mkisimuliana vile utakuwa nani ukiwa mkubwa?
Vita ya hatima! Wako wapi watu wako❗❗❗