Sijajua sredi ipi iliyompelekea ban, subiri Rejao aje atakujuza!Yaani FF kateremshiwa ban! Thread ipi ilimponza? Asante kwa taarifa Sweetlady
Humu chit chat bana...sababu zipo kule kwenye jukwaa la siasa!!Sijajua sredi ipi iliyompelekea ban, subiri Rejao aje atakujuza!
Ok, atakuwa kakusoma huyu mleta uzi, mie kule nachungulia na kutoka tu!Humu chit chat bana...sababu zipo kule kwenye jukwaa la siasa!!
Nyani Ngabu yupo bize anamsaidia Yo Yo kuvuna Bhangi...
Kuna mtu kanikera, nna hasira na nilikuwa nimenuna ila hii post yako imenifanya nicheke peke angu! Ubarikiwe!Nyani Ngabu yupo bize anamsaidia Yo Yo kuvuna Bhangi...
Ni mkulima, kama ni mtumiaji naomba nisiulizwe...kumbe YOYO ni mtumiaji wa hii kitu?
Kuna mtu kanikera, nna hasira na nilikuwa nimenuna ila hii post yako imenifanya nicheke peke angu! Ubarikiwe!
Ni mkulima, kama ni mtumiaji naomba nisiulizwe...
Mkuu nasikia eti na wewe umeacha hii kitu, ni kweli?
.
kaka huoni kuwa unaharibu cv za wabunge watarajiwa aisee..hi kitu sitamiagi waache kina YOYO waendelee nayo .
Nani tena huyo kakukasirisha ma dia..Kuna mtu kanikera, nna hasira na nilikuwa nimenuna ila hii post yako imenifanya nicheke peke angu! Ubarikiwe!
i miss figganigga as well.. Sijui yuko wapi..