Wako wapi hawa wadau?

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,252
Reaction score
11,648
Kuna watu walikuwa wadau wakubwa sana wa hili jukwaa. Usingeweza kumkosa mtu walau kila week. Ila kwa sasa wamepotea sana kiasi kwamba wanazua hali ya wasiwasi. Naomba tujaribu kupeana taarifa kama kuna mwenye hints ili tujue kama bado wapo!

1. @WomanOfSubtance (kwa mara ya mwisho alichangia kwenye huu uzi , na ilikuwa 30th April 2013
2 klorokwini (hajaonekana jukwaani kwa muda mrefu sana, record zinaonesha kuwa post yake ya mwisho ilikuwa 27th April 2012 15:15)
3. Dena Amsi
4. Rose1980 (Most Recent Message: 16th March 2013 14:06
5. afrodenzi (Most Recent Message: 13th November 2013 09:54)
6. Nyamayao
7. The Finest (Last Activity: 23rd January 2014 11:23)
8.

Ahsanteni sana,

Babu DC!!
 
Ukiongea na Dena mwambie namdai buku yangu anipe
Lowyer Kloro utakuwa umemuambukiza wewe huo ugonjwa!!

heheheeh!!! haya nitamwambia. namie nitajiklorokwini we endelea tu kunichokoza.
 

How do you do it ili ukitaja jina la mtu hapa linakuwa link? Halafu lazizi wangu Nyamayao alionekana humu kama mwezi mmoja uliopita !
 
How do you do it ili ukitaja jina la mtu hapa linakuwa link? Halafu lazizi wangu Nyamayao alionekana humu kama mwezi mmoja uliopita !

Kambla ya kuandika ID ya mhusika unaweza alama hii @ kisha bila kuacha space unaandika ID ya mhusika kama vile Nyamayao ....!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…