Wako kimya lakini CCM wanaunga mkono UKUTA

Wako kimya lakini CCM wanaunga mkono UKUTA

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
3,156
Reaction score
3,628
Habari wanabodi!

Ni ukweli lakini mchungu! Ni kama wapo kifungoni walichojifunga wenyewe, CCM hawaamini kinacho endelea katika siasa za Tanzania


Wanatamani UKUTA waanze kuandamana hata kesho ili wapate sababu ya kumshauri Boss Wa Chama chao. Miongoni mwao hawasemezani, ila wakiwa na uhakika wako salama utawasikia wakisema sasa tumefika pabaya!

Tuliwaambia siku nyingi kuwa Udikiteta hauchagui Wa kumuumiza.
 
Mmekosa watu wa kuandamana mnaanza kusingizia wanaCCM wanawaunga mkono acheni uongo, kama wanaCCM wanawaunga mkono fanyeni hayo maandamano tarehe 1 sept mkione cha mtemakuni.Sisi wanaCCM tunamkubali Magufuli kazi nzuri anayofanya na ataendelea kupambana na genge la wahuni
 
Muulize Lissu. Kama wako kimya, matamko ya kila siku ni ya nini?
 
Ukifuatilia maana ya u uwepo wa vyama,i beleve wapo watu ndani ya CCM wanaounga mkono hii kwani hata CCM wanapenda kufanya mikutano na kupata wanachama wapya.
 
ccm kumebaki wale ccm njaa, wenye fedha zao hawana muda na mtu anaye jifanya anajua kila kitu.
 
SAFARI.jpg
 
Mie binafsi ccm kabisakabisa ila kwa hili sikubaliani na mh. Rais maana kuzuia siasa hazina tija kwa taifa ni kwa manufaa yake binafsi..!

Anaye shabia kunyongwa kwa demokrasia eti sababu kunafanywa na chake cha CCM atakuwa ajielewi kabisa.
 
Mie binafsi ccm kabisakabisa ila kwa hili sikubaliani na mh. Rais maana kuzuia siasa hazina tija kwa taifa ni kwa manufaa yake binafsi..!

Anaye shabia kunyongwa kwa demokrasia eti sababu kunafanywa na chake cha CCM atakuwa ajielewi kabisa.
Kiuhalisia CCM ndio wenye hali mbaya majimboni,sasa kukataza mikutano ni sawa na kujimaliza.
Subirini UKUTA tuungane...
 
Ninashindwa kuwaelewa hawa lumumba. kwa sasa kinachozungumzwa na kuandikwa kutoka Lumumba ni UKUTA. hawaandiki wala kuzungumza kwa lengo la kuipinga Bali kwa lengo la kushinikiza maandamano. kuna Uzi unasema kuwa wanachama wengi ccm wanaunga mkono ukuta, hili litakuwa kweli.

hata vijana wao Wa mitandaoni kwa sasa hawaandiki habari nyingine tofauti na kuzungumzia ukuta

kwa nini ukuta ukuta ukuta hadi kwa magamba?
 
Ninashindwa kuwaelewa hawa lumumba. kwa sasa kinachozungumzwa na kuandikwa kutoka Lumumba ni UKUTA. hawaandiki wala kuzungumza kwa lengo la kuipinga Bali kwa lengo la kushinikiza maandamano. kuna Uzi unasema kuwa wanachama wengi ccm wanaunga mkono ukuta, hili litakuwa kweli.

hata vijana wao Wa mitandaoni kwa sasa hawaandiki habari nyingine tofauti na kuzungumzia ukuta

kwa nini ukuta ukuta ukuta hadi kwa magamba?
UKUTA ndo habari ya mujini.. Hadi makanisani ni UKUTA tu.. duniani kote hbr ni UKUTA UKUTA UKUTA UKUTA tu.. vijana wa uvccm ndo usiombe.. UKUTA umewakolea balaa
 
Back
Top Bottom