Wako kimya lakini CCM wanaunga mkono UKUTA

Wako kimya lakini CCM wanaunga mkono UKUTA

Anae tetea udikiteta hayajamkuta!! Nadhani lengo la UKUTA ni kuhimiza viongozi Wa juu wafuate sheria ktk maamuzi, na sio wasifanye maamuzi: kuwa strictly ktk maamuzi ni jambo jema sana , ila sheria pia isipuuzwe; utumbuaji uendelee lakini kwa kufuata sheria za nchi...sababu serikali yaweza ingia gharama kwa maamuzi yasiyozingatia sheria; jambo la msingi Rais aimarishe mifumo ya utekelezaji Wa sheria mfano taasisi PCCB, mahakama nk ili waendane na kasi atakayo Mh.
 
Mimi niko huku kijijini, nimejaribu kufuatilia mwamko wa wananchi kuhusu hayo munayoyasema,ukweli ni kwamba watu hawana habari wako bize na shughuli zao za kila siku, wao ukitaka nyuso zao zitabasamu wewe sema magufuli tu, yaani uhai wa kijiji ndio utauona hapo..niko safarini kondoa irangi.
 
Mmekosa watu wa kuandamana mnaanza kusingizia wanaCCM wanawaunga mkono acheni uongo, kama wanaCCM wanawaunga mkono fanyeni hayo maandamano tarehe 1 sept mkione cha mtemakuni.Sisi wanaCCM tunamkubali Magufuli kazi nzuri anayofanya na ataendelea kupambana na genge la wahuni
ukuta utainusuru ccm dhidi ya uongozi wa matamko ya mtu mmoja badala ya katiba ya chama.mfano ni ile kauli aliyoambiwa kikwete kuwa una uvumilivu sana ingekua mimi nusu ya wajumbe wa h/kuu ningewapoteza.
 
Mmekosa watu wa kuandamana mnaanza kusingizia wanaCCM wanawaunga mkono acheni uongo, kama wanaCCM wanawaunga mkono fanyeni hayo maandamano tarehe 1 sept mkione cha mtemakuni.Sisi wanaCCM tunamkubali Magufuli kazi nzuri anayofanya na ataendelea kupambana na genge la wahuni
mbona unawasemea wanaccm wote!
 
Unajua moja ya vitu wanavyo chukia ccm Ni jinsi jamaa anavyo wanyima Uhuru na ulaji ndani ya chama.wote wana stress. Hawampendi kabisaaa.
 
Back
Top Bottom