Bila kupepesa macho napenda kuwatahadharisha watanzania wenzangu kwa uchunguzi wa kina kabisa.katika bara letu la Afrika vurugu nyingi na vita huanzishwa na vyama tawala vinaposhindwa uchaguzi.
Dalili zote zinaonyesha wazi CCM hawako tayari kuachia madaraka kwa amani hata kama watashindwa kwa kura nyingi.
Ni rahisi kupinga hiki ninachokisema ila ukweli utabaki palepale
Watanzania wanasumbuliwa na mambo makuu 3
1-Unafiki
2-Kuamini uongo
3-Kumchukia yeyote anayesema kweli
Dalili zote zinaonyesha wazi CCM hawako tayari kuachia madaraka kwa amani hata kama watashindwa kwa kura nyingi.
Ni rahisi kupinga hiki ninachokisema ila ukweli utabaki palepale
Watanzania wanasumbuliwa na mambo makuu 3
1-Unafiki
2-Kuamini uongo
3-Kumchukia yeyote anayesema kweli