Wakishindwa watasababisha vurugu nchini

Wakishindwa watasababisha vurugu nchini

Hakuna jinsi Ukawa wakashindwa kwa haki. CCM lazima wacheze rafu.

vipi nikisema.."Hakuna jinsi ccm wakashindwa kwa haki"... si mtasema watatafuta goli la mkono?

ila kwa ukawa ndio sawa?


hakuna aliyeandikiwa ushindi.
 
Bila kupepesa macho napenda kuwatahadharisha watanzania wenzangu kwa uchunguzi wa kina kabisa.katika bara letu la Afrika vurugu nyingi na vita huanzishwa na vyama tawala vinaposhindwa uchaguzi.

Dalili zote zinaonyesha wazi CCM hawako tayari kuachia madaraka kwa amani hata kama watashindwa kwa kura nyingi.

Ni rahisi kupinga hiki ninachokisema ila ukweli utabaki palepale

Watanzania wanasumbuliwa na mambo makuu 3

1-Unafiki
2-Kuamini uongo
3-Kumchukia yeyote anayesema kweli

kura za Magufuli zinatosha kabisa na tutashinda kwa kishindo ngoja kampeni ianze tumpoteze huyo lowasa
 
Naomba nichangie post hii iwekwe kwenye kumbukumbu! Silaha ya mwisho kabisa ya CCM ni Kama ifuatavyo; wameshajipanga vilivyo kuanzisha fujo kubwa sana , na kupindua matokeo , then fujo itaanza kutoka wafuasi wa ukawa; fujo itaongezwa chumvi na media ; Jeshi la Wananchi na Polisi litapiga sana watu , itatangazwa hali ya hatari siku 3 , ndani ya siku 3 alieshindwa ataapishwa!!sijui nini kitafuata!!!
 
Mtoa post umelogwa nn! Unataka kutushawishi tuipigie ccm nn! Chama kishaoza icho! Saiv mapinduz kama nigeria vile katoka gudluck jonathan kaingia bohari so usitutishe! Jama wewe muoga chimba handaki lako ujifukie
 
ni kweli Mkuu maana vyombo vyote vya usalama viko chini ya ukawa na funguo za Maghala ya silaha wanazo ukawa.si umeona Leo ukawa walivyomzuia jk asiende Leo msibani kwa chopa?

Hahahah mwenye akili amekuelewa umemjibu vizuri jamaaa nadhani ameelewa
 
mshianza kutafuta visingizio...tatizo mmechukulia wabongo wote mazuzu enough kuchagua jizi...
 
kwani ndio mwisho wa uchaguzi si upo tena 2020 mimi nawaonea huruma ccm 2020
 
Tunaona Lowassa anavyohatarisha amani na mbwembwe zake kutaka sifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom