Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,061
Unaenda wapi?Leo napita tu teh
Unaenda wapi?Leo napita tu teh
Kwa mama mkwe anipe tuition mapema ya kumhandle mwanae. Wife material vibes you knowUnaenda wapi?
HahahahahahahaaaaaaaaHabari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Yaani umenifanya niwaze mbaaali!! Sasa zile list zako ndio mifano ya mama kweli!!!
Umtue mama yetu
we nae kwa kujikweza kama vile una thamani zaidi ya wengine, kaa na masharti yako miaka inasepasijui nitaishi lini na mwanaume nicheke mimi.kama kuna mtu anataka tuishi wote anitafute uwe na nyumba lakini maana mimi nimepanga .siwezi kuhama upangaji A nihamie B.
Yani ulivoandika tofauti kabisa na mama yangu.Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Kwa mama mkwe anipe tuition mapema ya kumhandle mwanae. Wife material vibes you know
Kwa mama mkwe anipe tuition mapema ya kumhandle mwanae. Wife material vibes you know
Bora huyo anakulinganisha na mama ake, vipi angekulinganisha na x gal wake. Be flexible mama, ndoa ni kozi isiyokuwa na graduation.Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Itakuwa hujafikia viwango anavyotarajia. Sasa kazi ni kwake kukubali hiyo hali, kila la kheri.Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Ndio ukome kumsingizia mamaHahaha.
Ujue nilikuwa na hamu ya kuchangia huu uzi saana ila imeshashindikana
Wewe baki hivyo hivyo
Umenishinda tabia.
Mbona hukimbii kama mama mkwe wako sasa!!!Wewe baki hivyo hivyo
Hahaha na yeye anakimbia hivyoMbona hukimbii kama mama mkwe wako sasa!!!
Aaah hapo sawa kabisa. Yani nikatae sifa Weeeeevipi kama ukasifiwa? nayo unakereka?
mfano: sijawahi kula chakula kitamu hivi tangu nizaliwe....
hapo vepee?