petrinamwana
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 901
- 345
Nawe mwambie mbona hafanani na baba ako kwa mechi ye anapiga moja tu kachoka babe anampiga nne mama cha tano cha niongeza
Me stress sina, na namshukuru Mungu huwa ananipiga upofu dhidi ya wanaume wa type yako. They are plenty of good men outside there ambao wanaheshimu maumbile yao na sio kujiendekeza na upuuzi eti wanaume mmeumbwa kuonja onja khaaa, mnaonja chumvi au sukari? Shame. Jisemee wewe na hao wanawake unaokutana nao, usiwasemee wanaume wenye akili njema. Uwe na usiku mwema
Aonavyo mtu nafsi mwake ndivyo alivyo. Ukiona kuwa huwezi kutulia na mkeo, Jisemee tu wewe binafsi na sio wote, me simsemei mtu fulani kuwa katulia coz huwezi jua ya nafsini mwa mtu, ila wapo wanaume ambao wame/wanaikimbia Zinaa kabisa. Misingi yako uliyolelewa nayo sio kila mwanaume ana msingi huo na hata choices mlizoamua kujifanya after growing up ni tofauti. Uliamua kuwa kucheat ni nature yenu na mwingine aliamua kuona kucheat kama ni ubatili tu. Kuna ndoa ambazo uaminifu haujawahi kuwa changamoto wana changamoto zao nyingine tu. Kusema wanaume wanacheat eti kisa sijui ni nature yao, c'mon all is such a very strong word. Anyway stick to what you believe. I'm out.Olewa uone chungu yake...jinsi unavyo ongea waonekana kabisa kuwa wewe bado uko katika matarajio ya kutaka kuolewa au maombi ya kupata bora mume. Anyways, it's your choice katika yale unayotaka kuamini. Sitaki nikutie stress bure ukaja kuwa a lesbian wakati ulikuwa na matarajio ya kuoelewa. BTW....nayazungumza haya kwako kwani wanaume hao hao unaowaona wanaheshimu maumbile yao tunakaa nao mitaani na wana nyumba lukuki (ndogo). Endelea kujidanganya tu.
Kuna wanaosema kabisa kuwa na mwanamke mmoja ni dalili ya mapungufuAonavyo mtu nafsi mwake ndivyo alivyo. Ukiona kuwa huwezi kutulia na mkeo, Jisemee tu wewe binafsi na sio wote, me simsemei mtu fulani kuwa katulia coz huwezi jua ya nafsi ni mwa mtu, ila wapo wanaume ambao wame/wanaikimbia Zinaa kabisa. Misingi yako uliyolelewa nayo sio kila mwanaume ana msingi huo na hata choices mlizoamua kujifanya after growing up ni tofauti. Uliamua kuwa kucheat ni nature yenu na mwingine aliamua kuona kucheat kama ni ubatili tu. Kuna ndoa ambazo uaminifu haujawahi kuwa changamoto wana changamoto zao nyingine tu. Kusema wanaume wanacheat eti kisa sijui ni nature yao, c'mon all is such a very strong word. Anyway stick to what you believe. I'm out.
Haha watu wanamsahau Mungu utadhani wanaishi ushenzini kusiko na Mungu. Ndo hao hao kutwa wamekumbatia ujinga afu mtu huku hata akisema tu hachepuki anaonekana ana mapungufu, ooh sijui hana hela au mvuto. Yani instead mtenda mema kutiwa moyo, sisi ndo tunataka tumvuruge kabisa awe kama sisiKuna wanaosema kabisa kuwa na mwanamke mmoja ni dalili ya mapungufu
Aonavyo mtu nafsi mwake ndivyo alivyo. Ukiona kuwa huwezi kutulia na mkeo, Jisemee tu wewe binafsi na sio wote, me simsemei mtu fulani kuwa katulia coz huwezi jua ya nafsini mwa mtu, ila wapo wanaume ambao wame/wanaikimbia Zinaa kabisa. Misingi yako uliyolelewa nayo sio kila mwanaume ana msingi huo na hata choices mlizoamua kujifanya after growing up ni tofauti. Uliamua kuwa kucheat ni nature yenu na mwingine aliamua kuona kucheat kama ni ubatili tu. Kuna ndoa ambazo uaminifu haujawahi kuwa changamoto wana changamoto zao nyingine tu. Kusema wanaume wanacheat eti kisa sijui ni nature yao, c'mon all is such a very strong word. Anyway stick to what you believe. I'm out.