FighterOne
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 313
- 277
Umeolewa na kijana ambae ametoka kuishi na mama yake moja kwa moja akaenda kuoa, tatzo liko hapo
Embu jaribu kuchangia mada tafadhali, suala la kujua mambo yangu binafsi halitakusaidia kitu whether nina kazi au sina... Focus kwenye mada mkuu..AsanteAsee we jamaa ww, @ kona upo,, du!!! Iv kazi unafanya muda gani!!?
Jamaa etu ni mwatirika wa vyeti fekiAsee we jamaa ww, @ kona upo,, du!!! Iv kazi unafanya muda gani!!?
Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Kweli kwanza kila mtu katokea malezi tofauti. Ndio maana maandiko ya wengine yanasema mwanamke ataacha wazazi wake na kuambatana na mkewe na mwanaume halikadhalika. Kuambatana sio kuondoka tu nyumbani (maana wengi wanaoa/kuolewa wakiwa wameshaondoka nyumbani) bali ni kukubali kubadilika kila kitu ulichozoea kwenu uendane na mwenzi wako. Maana hayo mapishi ya mama yako unayoyaona bora kuliko yote duniani baba yako pia yalimtatiza mwanzoni alizoea vikorombwezo vya bibi.Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Yaani umenifanya niwaze mbaaali!! Sasa zile list zako ndio mifano ya mama kweli!!! Umtue mama yetuMama zetu ndiyo wanawake wa kwanza kwetu tabia, mionekano ya wanawake tumeanza kuiona kwao.
Na wengine huwa tunaenda mbali kwa kutafuta mke anayefanania na mama japo kiduchu maana tunaamini (atanilea)kuishi vyema.
Embu jaribu kuchangia mada tafadhali, suala la kujua mambo yangu binafsi halitakusaidia kitu whether nina kazi au sina... Focus kwenye mada mkuu..Asante
hahahahahaahahhahaah, aiseeee!
Ila utambue kuwa wewe sasa umechukua nafasi ya mama yake. Yawezekana mama yake alimlea kwa miaka kadhaa kabla hajakupata wewe, hebu mdekeze, mbebe, mtunze kama mama yake alivyokuwa anamfanyia tokea akiwa mdogo. hahahaha
Mkuu ni kila unachofanya mwisho anasema atamwambia mama yake anifundishe kupika pilau maana anapika tamu sana. Nilifundishwa kupika kwetu inamaana maisha yetu yote yanafuata nyayo za mama yake?Mbona mimi sioni shida hapo, ila ni vyema kutoa sababu za hizo alternatives za housekeeping. Lakini inawezekana pia na wewe (kama sio mtoto wa single mother) utakuwa unatoa reference za baba yako au nyumbani kwenu kwa ujumla. Kwa kifupi, ukichukulia positive inakuwa ni sehemu ya innovation katika kujenga nyumba yenu.
Sasa siku mama mkwe (kama yupo hai) akiwatembelea itakuwaje?
Mtu hachangii mada hata, anaanza kunifatilia mimi aisee...hajaona wengine wote kaja kwangu...daah
Leo napita tu tehMamaz boy huyo
hahahahahaahahhahaah, aiseeee!
Ila utambue kuwa wewe sasa umechukua nafasi ya mama yake. Yawezekana mama yake alimlea kwa miaka kadhaa kabla hajakupata wewe, hebu mdekeze, mbebe, mtunze kama mama yake alivyokuwa anamfanyia tokea akiwa mdogo. hahahaha