Huyu jamaa amewaacha mbali wanasiasa karibia wote.
Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc
Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.
Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.
Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.
Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc
Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.
Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.
Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.