Kwa maoni yako nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025

Bromensa

Member
Jan 3, 2024
22
21
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
 
Striker si yupo ama? 😳

Au apewe winga?

Screenshot_20240118_091441_Instagram Lite.jpg
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Naunga mkono maoni yako
...ila sasa wahuni watakubali mtu wao aachie kweli?
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Josephat Gwajima

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Maja atatudanganya tu, dotto nadhani anafaa zaidi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mapendekezo yangu, hawahapa nawaona kuwa wanafaa:
1. Kassim Majaliwa
2. Simbachawene
3. Gwajima
4. Dr Ali Hassan Mwinyi
Hawa wamekuja kichwani haraka haraka ingawa ishu ya mkristo sijazingatia. Nitarudi baadae kuongeza list au kuiedit hii
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Mtz yoyote tu, ili mradi asiwe ccm, wala asiwe na, uhusiano, na, ccm
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Rais ni mmja tuu Samia hao wengine ni Wapambe wake.

Mwisho uliwahi ona wapi PM akawa Rais?
 
Back
Top Bottom