GE2025 Wakili Madeleka: CHADEMA wanavunja sheria waende mahakamani

GE2025 Wakili Madeleka: CHADEMA wanavunja sheria waende mahakamani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Sehemu ya mazungumzo na Wakili Peter Madeleka ambaye ni Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia chama cha ACT-Wazalendo, na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kivule 2025 - 2030 kuhusu sababu iliyomwondoa CHADEMA.

CHADEMA walisema hawangeshiriki uchaguzi mkuu na kutoa wito wa mabadiliko fulani ya Sheria na Kanuni zinazosimamia mchakato huo.

Chanzo: Bongo Fm
 
Sehemu ya mazungumzo na Wakili Peter Madeleka ambaye ni Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia chama cha ACT-Wazalendo, na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kivule 2025 - 2030 kuhusu sababu iliyomwondoa CHADEMA.

CHADEMA walisema hawangeshiriki uchaguzi mkuu na kutoa wito wa mabadiliko fulani ya Sheria na Kanuni zinazosimamia mchakato huo.
View attachment 3470370
Chanzo: Bongo Fm
Huyu bado amelewa pombe za ofa..
Ya chadema yanamuhusu nini?..si awaachie wenyewe...
 
Sehemu ya mazungumzo na Wakili Peter Madeleka ambaye ni Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia chama cha ACT-Wazalendo, na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kivule 2025 - 2030 kuhusu sababu iliyomwondoa CHADEMA.

CHADEMA walisema hawangeshiriki uchaguzi mkuu na kutoa wito wa mabadiliko fulani ya Sheria na Kanuni zinazosimamia mchakato huo.
View attachment 3470370
Chanzo: Bongo Fm
Kajibu kisheria sio kianaharakati.

Kwa tunaoamini demokrasia kila mtu yupo sawa muhimu asivunje sheria.

CDM kwa upande wao wapo sawa pia kwa msimamo wao.
 
Madeleka ni moja ya nyoka akikupa huduma ya uwakili juu ya Kessi anakuwa anakupeleleza,

Kakaa gerezani si Kwakuwa alifungwa noo alikuwa anatumikia kazi ya usalama wa Taifa ndani ya gereza kufuatilia masuala ya ********** na ******** alotumwa na SERIKALI ya awamu ya ***** pia kaeni kwa kumuamini mtaonoa mdhara yake


Britanicca
 
Madeleka ni moja ya nyoka akikupa huduma ya uwakili juu ya Kessi anakuwa anakupeleleza,

Kakaa gerezani si Kwakuwa alifungwa noo alikuwa anatumikia kazi ya usalama wa Taifa ndani ya gereza kufuatilia masuala ya ********** na ******** alotumwa na SERIKALI ya awamu ya ***** pia kaeni kwa kumuamini mtaonoa mdhara yake


Britanicca
NINI HIKI JF KWANN MNAFUTAFU BAADH YA MANDISH
 
Askari pandikizi aliyepo likizo ya kuvaa sare kwa geresha ya kufukuzwa anafikiri watu wote bado wapo usingizini?
 
Madeleka ni moja ya nyoka akikupa huduma ya uwakili juu ya Kessi anakuwa anakupeleleza,

Kakaa gerezani si Kwakuwa alifungwa noo alikuwa anatumikia kazi ya usalama wa Taifa ndani ya gereza kufuatilia masuala ya ********** na ******** alotumwa na SERIKALI ya awamu ya ***** pia kaeni kwa kumuamini mtaonoa mdhara yake


Britanicca
awamu ya tano. alafu pale kwenye nyota kumi ni NGORONGORO na *** hatusaidie mwingine. Kumbukeni madeleka alifungwa Arusha ambaoi ndo kuna issue ya ngorongoro.
Mwisho britanicca ulituhakikishia mwez wa tisa kabla hujaisha lissu anatoka ikiwa hajatoka utakua na wewe ni MSEN*E
 
Sehemu ya mazungumzo na Wakili Peter Madeleka ambaye ni Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia chama cha ACT-Wazalendo, na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kivule 2025 - 2030 kuhusu sababu iliyomwondoa CHADEMA.

CHADEMA walisema hawangeshiriki uchaguzi mkuu na kutoa wito wa mabadiliko fulani ya Sheria na Kanuni zinazosimamia mchakato huo.
View attachment 3470370
Chanzo: Bongo Fm
Kichaa.huyu
 
Sehemu ya mazungumzo na Wakili Peter Madeleka ambaye ni Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia chama cha ACT-Wazalendo, na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kivule 2025 - 2030 kuhusu sababu iliyomwondoa CHADEMA.

CHADEMA walisema hawangeshiriki uchaguzi mkuu na kutoa wito wa mabadiliko fulani ya Sheria na Kanuni zinazosimamia mchakato huo.
View attachment 3470370
Chanzo: Bongo Fm
South Africa ingekuwa na watu weusi wapumbavu kama huyu, makaburu wa South Africa wangeendelea na apartheid system yao mpaka Yesu atakaporudi.
 
Huyo ni mpumbavu na hajawahi kuwa Chadema, alikuwa CCM siku zote hadi leo hii.
FB_IMG_1751967263095.jpg
 
Back
Top Bottom