Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Taarifa za hivi punde ni kuwa wakili maarufu wa kujitegemea katika mikoa ya kanda ya ziwa Bw Aaron Kabunga amekamtwa na Takukuru akiwa katika harakatib za kuwahonga mashahidi katika kesi ya ufisadi inayowakabili watumisi 10 wa Halmasjhauri ya wilaya ya Karagwe mkoani kagera.
taarifa kutoka mkoani kagera ni kuwa kabunga ambaye ni tajiri mkubwa wa mahotel alikuwa akiwatetea watumishi hao na ilipangwa leo kuanza usikilizaji kwa mashahidi kuto Ushadi wao lakini Takukuru walipata taarifa za Kabunga kukutana na mashahdfi hao pamoja na mtuhumiwa mmoja ambaye ni afisa elimu wa wilaya hiyo.
walibambwa wakiwa katika hotel ya Clasic katika chumba namba 27 wote wamekamtwa,hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo bw magana amejitoa
kabunga,mashahidi,na mtuhumiwa bado wako lupango karagwe,kesi imepigwa kalenda
watumishi wanatuhumiwa kutafuna zaidi ya sh milioni 30 za halmshauti hiyo
taarifa kutoka mkoani kagera ni kuwa kabunga ambaye ni tajiri mkubwa wa mahotel alikuwa akiwatetea watumishi hao na ilipangwa leo kuanza usikilizaji kwa mashahidi kuto Ushadi wao lakini Takukuru walipata taarifa za Kabunga kukutana na mashahdfi hao pamoja na mtuhumiwa mmoja ambaye ni afisa elimu wa wilaya hiyo.
walibambwa wakiwa katika hotel ya Clasic katika chumba namba 27 wote wamekamtwa,hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo bw magana amejitoa
kabunga,mashahidi,na mtuhumiwa bado wako lupango karagwe,kesi imepigwa kalenda
watumishi wanatuhumiwa kutafuna zaidi ya sh milioni 30 za halmshauti hiyo