Wakili Kibatala hili la mfanyakazi TRC anatafuta umaarufu

lord atkin

Senior Member
Sep 30, 2018
197
683
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Ina maana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo kwa Sasa si kwenda mahakamani bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali,

Ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mMhakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili suala.

Screenshot_20220823-140744.jpg
 
Mkuu tume ya utumishi ni mahakama, na mfanyakazi anaruhusiwa kwenda na mwasheria. Sijui wewe neno mahakama unalipa tafsiri ipi.

Hata hivyo, bado baada ya rufaa ya tume ya utumishi kama mfanyakazi hajaridhika na maamuzi yake anaweza vile vile kukata rufaa kwa Rais.

Na kama majibu ya Rais haridhiki nayo, sheria imetoa mwanya kwa mfanyakazi kwenda mahakamani.

Shida yenu ninyi wakuu wa taasisi mnafikiri tume ya utumishi ndio mwisho wa usuluhishi wa migogoro na hii tume kimekuwa ndio kichaka chenu wengi kuwakandamiza wafanyakazi.
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Inamaana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo Kwa Sasa si kwenda mahakamani Bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi Wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani Wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa na wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania, ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mahakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili swala.

View attachment 2332341
 
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Inamaana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo Kwa Sasa si kwenda mahakamani Bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi Wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani Wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa na wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania Kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali, ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mahakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili swala.

View attachment 2332341
Hivi kumbe kafukuzwa na Rais?
 
Mkuu tume ya utumishi ni mahakama, na mfanyakazi anaruhusiwa kwenda na mwasheria. Sijui wewe neno mahakama unalipa tafsiri ipi.

Hata hivyo, bado baada ya rufaa ya tume ya utumishi kama mfanyakazi hajaridhika na maamuzi yake anaweza vile vile kukata rufaa kwa Rais.

Na kama majibu ya Rais haridhiki nayo, sheria imetoa mwanya kwa mfanyakazi kwenda mahakamani.

Shida yenu ninyi wakuu wa taasisi mnafikiri tume ya utumishi ndio mwisho wa usuluhishi wa migogoro na hii tume kimekuwa ndio kichaka chenu wengi kuwakandamiza wafanyakazi.
Hakuna room ya kwenda mahakamani mkuu tafuta hukumu ya hiyo kesi niliyocite Tanzlii usome, huwezi kupinga maamuzi ya Rais kuhusu kumfukuza kazi mahakamani never, Court of appeal imesema wazi wazi
 
Unajua fika nchi yenu inavyoongozwa na hata mambo uongozi yalivyo vuruguvurugu, yaani boss anamfukuza kazi mfanyakazi wa chini kwa kuogopa kufukuzwa yeye.

So kukata usumbufu ni mahakamani tu, mambo ya kwenda sijui kwa Rais sidhani kama huo muda upo!.
 
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Inamaana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo Kwa Sasa si kwenda mahakamani Bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi Wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani Wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa na wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania Kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali, ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mahakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili swala.

View attachment 2332341
Pamoja na hayo, kama kweli amefukuzwa kazi kwa sababu ya kupinga tozo kwenye groups za watsap ni uwonevu kupita kiasi na hii inadhihilisha tz tuna sheria mbaya sana. Watz tuamke tudai katiba mpya kwa nguvu zote
 
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Inamaana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo Kwa Sasa si kwenda mahakamani Bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi Wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani Wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa na wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania Kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali, ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mahakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili swala.

View attachment 2332341
Anataka umaarufu upi? Nyie wabongo mazuzu hivi?
 
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Inamaana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo Kwa Sasa si kwenda mahakamani Bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi Wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani Wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa na wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania Kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali, ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mahakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili swala.

View attachment 2332341
We unajua wajibu wa wakili....

Ova
 
Umeelewa vibaya hiyo hukumu... huyo mfanyakazi alikosea kwenda mahakamani kabla hajamaliza mchakato wa rufaa ndani ya utumishi wa umma.

Mtoa haki wa mwisho kwenye nchi ni Mahakama; kusema Rais ndio mwisho wa masuala ya nidhamu kwenye utumishi wa umma, hamna tofauti na kusema maamuzi ya Mohammed Dewji yawe ya mwisho kwa wafanyakazi wake.
 
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Ina maana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo kwa Sasa si kwenda mahakamani bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali,

Ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mMhakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili suala.

View attachment 2332341
Mtafute aliyekuloga.
Tupo tulipo kwa sababu ya watu kama ninyi…
Unatambua huo utaratibu ni mbovu upo humu kutufanya hamnazo…..
Sheria mbovu ndio maana Katiba mpya ni sasa
Shwaini kabisa
 
Nimeona taarifa zikisambaa kule Twitter kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala amesema yupo tayari kumtetea mahakamani meneja wa TRC kanda ya Dar Es Salaam ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga alitefukuzwa kazi Kwa kupinga tozo Whatsapp group.

Nikajiuliza ni mahakama gani hiyo? Ina maana Wakili Kibatala hajui kwamba mahakama za kawaida na hata Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) haina mamlaka ya kusikiliza migogoro ya wafanyakazi wa Umma?

Ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga option aliyonayo kwa Sasa si kwenda mahakamani bali ni kukata rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma na kama hataridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma atatakiwa kukata rufaa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais kuhusiana na migogoro ya wafanyakazi wa Umma ni final (ya mwisho).

Mfanyakazi wa Umma hawezi kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Rais kumfukuza kazi wala hawezi kupeleka mgogoro wa kikazi mahakamani wala kokote nje ya utaratibu hapo juu.

Kwa maelekezo haya ambayo pia yalielezwa wazi na mahakama ya rufani ya Tanzania kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania ilisema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali,

Ninamshangaa wakili Kibatala kusema atamtetea mMhakamani ndugu Jonas Afumwisye Mwangunga, ni ama Kibatala anataka kujitwalia umaarufu wa bei rahisi katika hili suala.

View attachment 2332341
Kama umeumia saana kunywa sumu ufe. Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM
 
Unajua fika nchi yenu inavyoongozwa na hata mambo uongozi yalivyo vuruguvurugu, yaani boss anamfukuza kazi mfanyakazi wa chini kwa kuogopa kufukuzwa yeye.

So kukata usumbufu ni mahakamani tu, mambo ya kwenda sijui kwa Rais sidhani kama huo muda upo!.
Labda mahakama ya ubeligiji,, yaani hapo ndo imetoka hivyo,, ikirudi pancha
 
Kama Sheria inasema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia serikalini, Ina maana ukionewa ndo basi tena?
Kuna umuhimu wa kuandika katiba mpya haraka Sana
Hiyo katiba wanaandika bavicha peke yao?, Tumia akili,,
Mkitaka katiba mnayotaka nyinyi mjitahidi muwe na majority bungeni na uraiani, vinginevyo mtalalama sana mitandaoni miaka nenda rudi, PURE FACT
 
Back
Top Bottom