BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Jonas Afumwisye alikamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam kwa madai ya kupinga Tozo za miamala kwenye Mitandao ya Kijamii.
Wakili Peter Kibatala anayemtetea mtuhumiwa amethibitisha kuachiwa kwake na kueleza kuwa wamewasilisha #Rufaa Tume ya Utumishi wa Umma wakipinga kufutwa kazi na Shirika la Reli (TRC).
Kibatala amesema “Tumekata rufaa ya kupinga kufukuzwa kazi na TRC tangu Agosti 29 na imepokelewa, sasa tunasubiri maelekezo ya Tume ya Utumishi wa Umma namna Rufaa itakavyoshughulikiwa,”.
Wakili Peter Kibatala anayemtetea mtuhumiwa amethibitisha kuachiwa kwake na kueleza kuwa wamewasilisha #Rufaa Tume ya Utumishi wa Umma wakipinga kufutwa kazi na Shirika la Reli (TRC).
Kibatala amesema “Tumekata rufaa ya kupinga kufukuzwa kazi na TRC tangu Agosti 29 na imepokelewa, sasa tunasubiri maelekezo ya Tume ya Utumishi wa Umma namna Rufaa itakavyoshughulikiwa,”.