I agree with you in toatal Jamaa amenichefua hata ham ya gazeti 'tanzania daima' ikanitoka asubuhui asubuhi!!!
but now im begging to belive tanzania daima wamemchomkea huyo jamaa atapike
Fungamtama huwa ni wakili wa Rostam soma hii habari
Fungamatama hapa anamtetea Mahanga Makongoro
Fungamtama huwa ni wakili wa Rostam soma hii habari
Fungamatama hapa anamtetea Mahanga Makongoro
Jamani mi niko ignorant kidogo na maswala ya TIC na BRELA kwa ujumla kuhusu usajili wa kampuni za nje Tanzania.
Kutokana na list iliyotajwa ya wamiliki wa Dowans kutoka BRELA, kama sijakosea, wote ni watu kutoka nje ya Tanzania.
Hivi inawezekana kweli kampuni ikasajiliwa BRELA ikiwa na wamiliki wote sio watanzania??? au inatakiwa atleast kuwepo na share holder mmoja ambaye ni Mtanzania????
Jamani naomba mnisaidie kwenye hili...
Mkuu tupe data zake!!!!!!! Ni mmoja wa mafisadi nini kama Mhs Mbunge Shikamkono aliye tuingiza huko?????Kennedy Fungamtama is known for his corrupted mind.
Ukiaangalia arguments za huyo wakili mbuzi (mchumia tumbo) utagundua kwamba ametumwa kumsema Sitta kwa sababu kila alipokuwa anatoa maelezo hakusita kulitaja jina la sita. Kwa mtililiko huu utaona kuwa kuna kitu kinafichwa hapa. Hii hoja ya kupinga dowans kulipwa inasemwa na watu wengi sasa katika maelezo yake ameona wa kumshambulia ni sitta tu? Hapa ndopo unapokutana na wasomi wanaopaswa kufutiwa shahada zao kwani hawalisaidii taifa zaidi ya kulifilisi.
Kataeni kuwalipa muone yatayojiri. Mlishinikiza kuvunja mkataba sasa matokeo mnayaona.
Nyerere alijidai kuwataifisha LONRHO, ingawa taifisha yake ya Ma Benki na Mashamba Na Viwanda vya wazungu ilikuwa ya geresha kwani wote alikuwa akiwalipa, wote walilipwa, wasiolipwa ni waIslam tu waliokuwa na mali zao. Akajidai kuwalipa LONRHO anavyotaka yeye, mbona ilimtokea puani! Jee hamkumbuki? Kama wengi wenu hamkuwepo wakati huo, m-google mtazipata data.
Sasa haya ya Dowans tunapiga kelele na madudu tumefanya wenyewe, huwezi kuvunja mkataba na mtu aliyekwisha kuingia hasara ya kukuletea mlivyo ahidiana, labda viwe chini ya kiwango mlichokubaliana au viwe vibovu au awe hajavileta kabisa. Lakini hakuna sababu nyengine yoyote utayoitowa ukashinda, mahakama yoyote duniani labda iwe haifati haki.
Hili La Dowans, tutapiga kelele weee, at the end lazima lilipwe.
Kataeni kuwalipa muone yatayojiri. Mlishinikiza kuvunja mkataba sasa matokeo mnayaona.
Nyerere alijidai kuwataifisha LONRHO, ingawa taifisha yake ya Ma Benki na Mashamba Na Viwanda vya wazungu ilikuwa ya geresha kwani wote alikuwa akiwalipa, wote walilipwa, wasiolipwa ni waIslam tu waliokuwa na mali zao. Akajidai kuwalipa LONRHO anavyotaka yeye, mbona ilimtokea puani! Jee hamkumbuki? Kama wengi wenu hamkuwepo wakati huo, m-google mtazipata data.
Sasa haya ya Dowans tunapiga kelele na madudu tumefanya wenyewe, huwezi kuvunja mkataba na mtu aliyekwisha kuingia hasara ya kukuletea mlivyo ahidiana, labda viwe chini ya kiwango mlichokubaliana au viwe vibovu au awe hajavileta kabisa. Lakini hakuna sababu nyengine yoyote utayoitowa ukashinda, mahakama yoyote duniani labda iwe haifati haki.
Hili La Dowans, tutapiga kelele weee, at the end lazima lilipwe.
Kennedy Fungamtama is known for his corrupted mind.