Wakili: DOWANS itadhoofisha nchi

Wakili: Dowans itadhohofisha nchi

Alisema moja ya madhara hayo ni kwa wafadhili kuiweka nchi kwenye orodha ya kunyimwa misaada, kwa sababu ya kutoheshimu sheria na mikataba ya kimataifa ambayo imeridhia.

Hili dude linaloitwa Fungamtama linaelekea halina akili za kawaida "common sense".
"Mkataba wa kimataifa" wa kitapeli inabidi upingwe kwa akili zote za kuzaliwa nazo.
Kazi ya mwanasheria ni kupinga ufisadi huu.Sasa ukunyimwa misaada kwa ajili ya kuweka utu wako mbele kunatatizo gani.
Huyu Fungamtama ni kama bibie anayebakwa, yeye anamrahisishia mbakaji!!!
 
Huyu ni fisadi papa wa kisheria. Ameshanunuliwa na mafisadi, na kwa taarifa tulizo nazo huyu jamaa anauhusiano wa jirani na baadhi ya mafisadi. Katika hili lazima awe biased na kuwatumikia rafiki zake ambao ni mafisadi. Toka mwanzoni nilitegemea atakuja na msimamo huo for his own interest not for the public interests.
-Kwa nini anamuvamia Mhesh.Sitta bila kujenga hoja msingi za kumavamia(ad hominem) badala ya kuleta facts?
-Kwanini anamuunganisha Mhesh. Sitta na kuvunjika kwa mkataba kati ya Tanesco na Downs?
-Kwanini anajenga hoja zisizo na akili za kumugombanisha Sitta na Wananchi?
-Kwanini anaongea kwa jaziba "EMOTIONAL" kama hana masilahi katika malipo hayo?
-Kwanini ameitoa sadaka fani yake sheria na kuongea kwa hulka?
-Kwanini anazipa nguvu sheria za kimataifa kuliko za ndani, anafanya hivyo akiongozwa na sheria ipi?
-Kwanini anatutisha na misaada ambayo kwa kiaasi kikubwa haiwanufaisha wananchi?

WHEREFORE Huyu jamaa ameshanunuliwa na ametumwa.Muda si wakati wa kuwadanganya wa Tanzania kama sheria wengi tumesoma, hajuu yeye peke yake tuu. we are many. Jambao la maana ni kwenda High Court kupinga Registration ya uamuzi wa shauri hilo. Labda wanunue na majaji.
 
Mimi nasisitiza ubaya wa majina yetu...yanatuathiri akili zetu....mara NUNDU sasa huyu FUNGAMTAMA...SIJUI MTAMA UMEKOSA NINI HATA UFUNGIWE

alaf mkuu una masihara una maana hata makamba,la azizi,chitanda,kombania,pinda,mkono, wote wanamatatizo ya majina? Mwambie wakili wa RA afunge domo! Cjui mawakili hawana bodi ya maadili wakachukua cheti cha jambazi huyu. Wengne wanasifa tayari za kwenda jehanamu lakini wanalazimisha nyingne,cjui wanatafuta first class,honour jeanamu? Nani kamwambia uyu jamaa kuwa kesi iliamuliwa vibaya?kesi iko ok,ila vibaka wanaopaswa kulipwa ni hewa ndo issue! Nadhani ICC isingeweza kushindwa kuamua wakati akina RA,EL walikuwa wanahudhuria na washkaji wao Rex Attoney,nadhani ICC ingepaswa kuongezea kuwa kwa kuwa aliyeshinda kesi ni hewa/nonexisting na malipo yatakuwa sh.hewa! Hawa vibaka wanaomsuta mzee6,cjui wanataka nini,tayari uSpeaker wamempokonya na ulimi wake wanautaka?! Waende jehanamu huko.
 
Kwa nini huyu jamaa anapenda wamiliki halali wa Dowans wasijulikane?
Je mfadhili gani anapenda fedha za wananchi ziibiwe?
Je kuanzia lini huyu mwanasheria ni msemaji wa wafadhiri?
 
Aliisoma hiyo hukumu kama nani? Je ni mwanasheria wa serikali, mpka apate nafasi ya kusoma mara saba?
Au Mafisadi wenzake walimpa aisome ili atudanganye sisi wa Tanaznia?
Hapo amechemsha!
 
Fungamtama ni bogasi. Sababu zote mbili alizotoa hazina mantiki. Wafadhili wenyewe hawakubalini na tabia ya serikali kufuja hela wanazotoa. Wafadhil;i wanajua historia nzima ya sakata hili na wanajua kuwa lina rushwa ndani yake. Pili wawekezaje nao wana akili kubwa sana ya kujua pumba na mchele. Serikali haitakataa kulipa bila sababu; sababu iliyowazi ni kuwa serikali haikuwa na mkataba wowote na Dowans, bali walikuwa na mkataba na Richmond na wala mkataba huo wa Richmond haukuwa na kipengele kinachoonyesha kuwa utaweza kuuizwa kwa kampuni nyingine ambayo haikuwa imetathminiwa na serikali. Dowansa ilikurupuka na kuchukua mkataba wa Richmond bila serikali kuwa imetathmini ubora wa kampuni hiyo.


Hebu angali hii:

Dowans hawakupewa tenda yoyote na TANESCO; walichukua mkataba wa Richmond bila ridhaa ya TANESCO.

Yaani unajua kinachoshangaza ni pale wananchi tunapotishwa na kampuni jini eti tusipowalipa mara ooh! watatikisa nchi, wafadhili hawatatupa misaada mara sijui wawekezaji just for this Dowans. Kweli nimeamini RA ndiye mtawala wa hiyo nchi!
 
kama kweli Sitta ni mzalendo wa kweli na hana chuki binafsi katika hili ni kwanini hayo madai anayoyasema asingeiomba serikali imuweke kama shahidi wa upande wa TANESCO ili akatoe ushahidi anaousema kila kukicha kwenye vyombo vya habari?

Haya eti nayo hii ni hoja ya huyo mwanasheria! Hivi chuki binafsi inaingiaje kwenye huu mjadala? Kwa nini Sita awe na chuki binafsi na Dowans? Na kama ni kweli why Fungamtama is concerned with the so called "chuki binafsi"?
 


Haya eti nayo hii ni hoja ya huyo mwanasheria! Hivi chuki binafsi inaingiaje kwenye huu mjadala? Kwa nini Sita awe na chuki binafsi na Dowans? Na kama ni kweli why Fungamtama is concerned with the so called "chuki binafsi"?

The chicken come home to roost....
 
huyo nae kichaa tu,anataka kulipwa fadhili kwa kumpaka mafuta mkwere
 


Haya eti nayo hii ni hoja ya huyo mwanasheria! Hivi chuki binafsi inaingiaje kwenye huu mjadala? Kwa nini Sita awe na chuki binafsi na Dowans? Na kama ni kweli why Fungamtama is concerned with the so called "chuki binafsi"?

Chuki bainafsi na Rostam maybe.....wakili anamtaja bosi wake sasa kuhusiana na DOWANS
 
Now I get it, thanks rev.

I agree with you in toatal Jamaa amenichefua hata ham ya gazeti 'tanzania daima' ikanitoka asubuhui asubuhi!!!

but now im begging to belive tanzania daima wamemchomkea huyo jamaa atapike
 
Mams ameshategua kitendawili chote. In fact Fungamtama ni kikaragosi cha RA na hapo aliyezungumza ni RA. na mwandishi wa habari hizo naye kama kawaida yake ya kununuliwa cheaply, anmwita eti wakili mahiri. Fungamtama ana umahiri gani?
 
"Aidha, alisema jambo jingine lililojitokeza wakati kesi hiyo ikiendelea baina ya Dowans na TANESCO ni TANESCO walitaka kujua wamiliki wa Dowans ni kina nani na Mahakama ya ICC iliona hoja hiyo ya TANESCO ya kutaka kumjua mmiliki haina umuhimu wowote katika mgogoro uliokuwa mbele yao na ikatupilia mbali, kwa sababu iliona hoja hiyo haina maana yoyote mbele yao."

Hivi huyu pumbavu anaona ni sawa na sisi kutokujua nani ni mmiliki wa Dowans!!! Yaani sisi tulipe bila kujua ni nani tuna mlipa na ni kwa nini? Kwa kuwa REv Masanilo umetonya kwamba ni wakili wa Rostam, bila shaka anafanya hivyo kwa maagizo ya RA.

Naungana na UDOM kwamba chama chao ni hivi sasa.....

 
Huyu Kennedy Fungamtama inawezekanaje YEYE AANZE KUISEMEA SERIKALI??????????
Yeye ni NANI ndani ya Serikali hii mpaka amshutumu na kumdhalilisha Mhe.Sammy Sitta(MB) na Waziri wa Ushirikiano EA???Alichofanya Fungamtama hapa ni CHARACTER ASSASSINATION kwa Mhe. Sitta kwa interest ambazo kila mtu anazifahamu.

Kila Mtanzania anajua kabisa kuwa RA ni mmoja wa Vigogo wa CCM waliofanya MBINU CHAFU ZA KUMWENGUA Mhe. Sitta kwenye kiti chake cha Uspika kwasababu hizi hizi za kupiga VITA DHIDI YA UFISADI. Bado Mhe. Sitta ameapa kuendeleza vita dhidi ya Ufisadi hata akiwa nje ya Uspika.

Ati Wakili MAARUFU wa Kujitetegemea!!! Kwanza mimi ndo naanza kusikia Jina lake kuwa ni wakili. Huyu si lolote wala chochote zaidi ya kuwa ni WAKILI ANAYENUKA HARUFU YA KIFISADI!
Kama kweli ni wakili WA ROSTAM AZIZI BASI HATAKIWI KUJIINGIZA KWENYE HILI SAKATA LA MALIPO YA 97B/- ZA WATANZANIA KWA KAMPUNI HEWA YA DOWANS.

Hivi wakati wa Kamati ya Bunge ya iliyoongozwa na Dk. Mwakyembe alikuwa wapi kutetea UPUUZI HUU wa kina RICHMOND/DOWANS???Atuondolee uchuro hapa. Mpuuzi mkubwa na Fisadi wahead.
Hivi anafikiri yeye peke yake ndiye anayejua sheria za nchi hii?

Ukisoma kwa makini taarifa ya huyu Wakili FUNGAMTAMA ni wazi kuwa anatetea MALIPO HAYA YAFANYIKE HARAKA MAANA ANA MGAWO WAKE PALE.
 
Huyu ni mpuzi tu, Fungamtama hawezi kuwa na uchungu wowote na nchi hii wakati na yeye ni fisadi kazi ni kutetea mafisadi, anadhani Tanzania ina fedha za kuwalipa hao DOWANS. Ni fedha za hao hao Wafadhili. Sasa kwa nini wafurahie fedha zao ziende kwenye ufisadi. Fungamtama una akili tegemezi sana hufai. Heritage ufe tu unaliletea hazard sana taifa.
 
Kataeni kuwalipa muone yatayojiri. Mlishinikiza kuvunja mkataba sasa matokeo mnayaona.

Nyerere alijidai kuwataifisha LONRHO, ingawa taifisha yake ya Ma Benki na Mashamba Na Viwanda vya wazungu ilikuwa ya geresha kwani wote alikuwa akiwalipa, wote walilipwa, wasiolipwa ni waIslam tu waliokuwa na mali zao. Akajidai kuwalipa LONRHO anavyotaka yeye, mbona ilimtokea puani! Jee hamkumbuki? Kama wengi wenu hamkuwepo wakati huo, m-google mtazipata data.

Sasa haya ya Dowans tunapiga kelele na madudu tumefanya wenyewe, huwezi kuvunja mkataba na mtu aliyekwisha kuingia hasara ya kukuletea mlivyo ahidiana, labda viwe chini ya kiwango mlichokubaliana au viwe vibovu au awe hajavileta kabisa. Lakini hakuna sababu nyengine yoyote utayoitowa ukashinda, mahakama yoyote duniani labda iwe haifati haki.

Hili La Dowans, tutapiga kelele weee, at the end lazima lilipwe.
 
Hizo hela wanazolipwa DOWANS ni nyingi sana na watu wengi wameahidiwa mgao na hivyo ni budi kuwachunguza kwa kauri zao. Kwa huyu wakili under subject si tatizo kwa kuwa amekuwa anamtetea sana na kumwakilisha ktk kesi mbalimbali RA na rafiki yake Mh wa Ukonga.

Wazawa kwa kuitetea dowans mnashirki kuwaua Watz. Huo mgao wenu mnauthamanisha na maisha ya Watz walio ktk umaskini wa kutupwa, eti tutakosa misaada! To hell!

Misaada yenyewe inaishia mikononi mwao!
 
Mwanasheria huyo ambaye alimuelezea Sitta kuwa mtu anayejaribu kucheza na akili za Watanzania, kwa sababu ya kutojua kwao undani wa hukumu ya ICC, alisema endapo serikali itakaidi kulipa fidia hiyo ni wazi taifa linaweza kukabiliwa na madhara makubwa mawili.

Alisema moja ya madhara hayo ni kwa wafadhili kuiweka nchi kwenye orodha ya kunyimwa misaada, kwa sababu ya kutoheshimu sheria na mikataba ya kimataifa ambayo imeridhia.


Wakili huyo alisema madhara mengini ni pamoja na wawekezaji kuingiwa na hofu ya kuja kuwekeza hapa nchini na kuongeza kuwa hilo likitokea taifa ndilo litakalopata hasara na si Waziri Sitta binafsi.


Ndugu MIMI SI MWANASHERIA LAKINI HUONGOZWA NA BUSARA BINAFSI:-
1. TANZANIA IMEKUWA IKIPOKEA MISAADA KWA TAKRIBANI MIAKA HAMSNI SASA - JE, UNARIDHIKA NA HALI ZA MAISHA YA WATANZANIA?
2. TAKWIMU ZILIZOPO ZINAAINISHA KWAMBA KILA MTANZANIA ANADAIWA WASTANI WA SHILINGI LAKI TATU KTK DENI LA TANZANIA - Je, KWA MAONI YAKO WATANZANIA WAMETUMIA HUO MKOPO KATIKA KIWANGO HICHO?
3. KATI YA HAO MASHAHIDI SIDHANI KAMA KUNA HATA MMOJA ANAYELIPWA ZAIDI YA TSH.15MILLION KWA MWEZI KWA HIYO HAKUNA ANAYEZIDI MILIONI, HIVYO AKUNA ANAYEZIDI TSH720MILLION KATIKA MIAKA MINNE. JE, UNAFIKIRI WAKIPEWA 2BILLION KILA MMOJA WATASHINDWA KUIDIDIMIZA TANESCO?
4. NDG YANGU MISAADA HIYO UNAYOILILI NDIYO IMETUFIKISHA HAPA TULIPO NOTHING ELSE!
WATENDAJI WANAWAZA MISAADA HIVYO KUTOJISHUGHULISHA NA NDIYO CHANZO CHA KUKUA KWA RUSHWA KAMA HUNA HABARI!!!

Ninakazi zingine ntakujibu baadaye!
 
Back
Top Bottom