Huyu jamaa amesoma hiyo hukumu mara saba kwa sababu ana instructions za kumuwakilisha boss wake RA na hata sasa hivi ana kesi ya Dowans iliyo mahakama ya biashara na ambayo aniendesha yeye kwa niaba ya Dowans. maoni yake hayawezi kuchukuliwa kwamba ni ya mtu independent na asiye na interest. Yeye anatishia ili apate fee note yake.
Halafu hii tabia ya kumuita wakili kuwa ni MAARUFU sijui ni kwa kutumia vigezo gani. Kuna kesi gani yenye public interest amewahi kuiendesha akaishinda? Mimi najua umaarufu wa huyu jamaa na forgery na kuhonga honga. Hata wakati mmoja aliwahi kushtakiwa mahakama ya kisutu kwa kughushi hukumu ili ionekane ilitolewa na mahakama kumbe aliitayarisha yeye na kumpelekea mteja aliyeko Marekani.
Halafu hii tabia ya kumuita wakili kuwa ni MAARUFU sijui ni kwa kutumia vigezo gani. Kuna kesi gani yenye public interest amewahi kuiendesha akaishinda? Mimi najua umaarufu wa huyu jamaa na forgery na kuhonga honga. Hata wakati mmoja aliwahi kushtakiwa mahakama ya kisutu kwa kughushi hukumu ili ionekane ilitolewa na mahakama kumbe aliitayarisha yeye na kumpelekea mteja aliyeko Marekani.