Wakili aeleza walivyosota gerezani na mkewe miezi 18, waamua kudai fidia

Uko sahihi kabisa. Na hata kama atashinda hiyo kesi, basi ni kutokana tu udhaifu wa vyombo vyetu vya kiuchunguzi kufanya kazi zao kwa kukurupuka.
Huyo lawyer na mke wake Wana kesi za kujibu, conflict of interest mke anamupa insider info, jamaa mume wake anapita nazo, anashinda kesi za wateja wake. Kuna mambo mengi yamefichwa hapo huyo jamaa anataka huruma toka kwa jamii
 
Acha hizo, Kwani si alihamishwa na baadaye akaamuwa kuacha kazi? Mgongano gani wa kimaslahi? Walibambikiwa kesi ili kuwakomoa. Tulia na utafakari ukiwa sober.
wewe ndio unatakiwa utafakari sio wote waliowekwa ndani na awamu iliyopita walionewa , kuna mtu alileta uzi jinsi alivyonyanyaswa na huyu jamaa akiwa polisi kwa kifupi karma imemkuta.
 
DPP Mganga anapaswa kuchunguzwa kwa uhalifu,malalamiko juu yake ni mengi mno
Na waliokuwa uhamiaji wakiandaa permit fake au kuwanasumbua wageni nao wachukuliwe hatua. Tunasahau kama vile kila mtu anaonewa. Wengine walikuwa ndani kihalali kabisa
 
Kwenye hii kesi, ili mradi amekata rufaa, tutasikia upande wa pili wa story. Iko maneno mengi kuliko haya aliyoeleza jamaa. Hizi ofisi za serikali kuna watu wengi wanazitumia vibaya ikiwemo wengine wachache, askari uhamiaji
 
Lengo lao kuu ni kumpotezea muda na kumtoa kwenye ramani. Usikute hapo walishindwana kwenye mgawo ndiyo wakaamua kumkomoa au Hata ugomvi Wa kimapenzi tu..

Ifike mahali ukishitakiwa na Serikali kisha ukakutwa huna hatia basi yule aliyefungua hiyo Kesi ndiye umshtaki personally Kwa kukupotezea muda, maana kuna kesi nyingi sana zinafunguliwa Kwa kisingizio cha Serikali ila nyuma yake kuna personal interest..
 
Kazi imeanza, kesi hizi zitakuww nyingi sana na serikali inaweza kujikuta inalipa watu mafidia mengi sana...
 
Huyo wakili na mkewe hawakutumia akili as if hawajasoma sheria. Walistahili yote hayo. Ukisoma maelezo yake ya awali unaona kabisa aliyakanyaga mwenyew.
 
Tukiwalipa hawa wote kweli nchi itabaki na rupia hata moja ?

Sababu ni wengi kweli kweli....
 
Pole sana wana ndoa kwa kubambikiwa kesi. Kuna wakati unawaza matukio kama haya pamoja na ya Sabaya yaliyotokea wakati wa utawala wa Kayafa unajikuta unamshukuru Mungu kwa kumwita katika ufalme wake vinginevyo angefikisha miaka kumi wengi wangeteketea. Asante Mungu ingawa ulichelewa kidogo kufanya maamuzi. Better late than never.
 
Nakumbuka jinsi Maguchizi alivyotamani gari ya Manji nayo ingekamatwa na kuwekwa ndani pamoja naye. Ndio ilikuwa michezo yao hii, kunyang'anya watu mali zao.
 
Ukisoma vizuri kuna maelezo ameficha, inaonyesha wazi kulikuwa na mgongano wa kimaslahi kwa yeye kusimamia kesi za uhamiaji wakati mke wake yupo huko. Naunga mkono polisi kukamata watu kama hao wanaichafua sana nchi.
Kama hujui kitu kaa kimya tu, mbona kuna watu wengi tu wanafanya kazi TRA, idara ya kodi za ndani, wameolewa na mawakili, tena kuna kesi nyingi za mambo ya kodi, wana zitetea?nenda ofisi ya upelelezi pale makao makuu ya polisi, kuna wapelelezi kibao wameolewa na mawakili, mbona hata siku moja hujasikia hayo mambo?eti kuna kitu amekificha, hahaaa!!mala ngapi mwendazake aliwatishia mawakili kuwa jitu limeiba eti ana kuja wakili kulitetea, naye inabidi aingizwe kwenye kesi hiyo kwani sio uzalendo!!!daaa huyo ni kiongozi wa nchi!!MUNGU FUNDI
 
Hizi ndo zile kesi za kubambikiana kipindi cha Kayafa mwanaharamu mwendazake
 
Huyo lawyer na mke wake Wana kesi za kujibu, conflict of interest mke anamupa insider info, jamaa mume wake anapita nazo, anashinda kesi za wateja wake. Kuna mambo mengi yamefichwa hapo huyo jamaa anataka huruma toka kwa jamii
Lawyer mpumbavu.
 
Afrika kuna udhalimu sana, yaani sisi tunaonewa na wazungu halafu tena tunaonewa na wenye madaraka/mamlaka...

Gademu....
 
Hao waliomshtaki kwa kumjengea zengwe walitumwa na serikali ya mwendazake, kwahiyo serikali ndio inatakiwa ishtakiwe na ilipe fidia
 
wewe ndio kaa kimya hivi umeshawahi kujaza tenda kwenye hizi international organization na wanakwambia kabisa ndugu wa wafanyakazi hawaruhusiwi kushiriki au umeshasoma sheria za maadili unakaa unapayukapayuka bila kujua ni nini kinajadiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…