Huyo lawyer na mke wake Wana kesi za kujibu, conflict of interest mke anamupa insider info, jamaa mume wake anapita nazo, anashinda kesi za wateja wake. Kuna mambo mengi yamefichwa hapo huyo jamaa anataka huruma toka kwa jamiiUko sahihi kabisa. Na hata kama atashinda hiyo kesi, basi ni kutokana tu udhaifu wa vyombo vyetu vya kiuchunguzi kufanya kazi zao kwa kukurupuka.