Wakenya wasimika bendera mlima Kilimanjaro

Wakenya wasimika bendera mlima Kilimanjaro

Nikajua tayari wameshatupokonya kama ziwa nyasa.
 
ndo maana watalii wanadhani mlima kilimanjaro uko kenya na sie tumelala tuuuu....nchi haina uongozi kabisaaa....akina mbowe nao kimya huko moshi mpaka wanavamiwa na wakenya wanatoa mimacho tuu
 
Dar nilikuja kwa furaha nikijua sisi watu wa Kilimanjaro tumekombolewa kumbe bado tuko kwenye minyororo ya ccm!
 
Hawa WA-NYAYO wanadhani Tanzania ni SOMALIA?? Yaani kutwaa KISMAYU wanadhani wanaweza kujipanua kimipaka wanavyotaka???

Wizara husika wanajua hili kweli?? Na kama hawajui wanafanya nini??? Hii nchi kuna siku tutakuja kuamka na kukuta kuna mkoa UMEUZWA au UMETWALIWA na NCHI JIRANI na SERIKALI haijui....

Tanzania imekuwa 'SHAMBA LA BIBI' ambalo kila mja hujitwalia atakacho. Malawi wamejitwalia Ziwa Nyasa, Kenya wanataka Mlima Kilimanjaro, punde utasikia Uganda wanajitwalia Mto Kagera na sehemu ya Ziwa Victoria na Zanzibar nao watachukua Bahari ya Hindi na sehemu ya Ukanda wa Pwani.

Kusema ukweli Tanzania ya sasa imekosa uelekeo na hii inasababishwa zaidi na kuongezeka kwa ubinafsi kwa viongozi walioko madarakani, kukosekana kwa uadilifu miongoni mwao, uroho wa madaraka na kukosa roho ya utaifa. Kwa ujumla Tanzania ina ombwe la uongozi ama imekosa kabisa uongozi makini hivyo inajiendesha kama meli isiyokuwa na nahodha.
 
Haya masuala yasituumize vichwa. Kwani akina Armstrong walivyotundika bendera ya USA kule mwezini,je huo mwezi ni wa kwao!
 
mkuu mlima kenya nauona nikiwa moshi,hauna barafu na ni mfupi sana,kilimanjaro ndio mlima wenye barafu peke yake africa
Maelezo yako mbona yananipa mashaka mengi?ni sehemu gani ya Moshi ukisimama unaweza kuuona mlima Kenya? Nina bahati ya kuishi katika sehemu mbili ilipo milima hii miwili (mt. Kenya na Kilimanjaro). Nimeishi katika mji unaitwa Nanyuki; just at foothill of Mt. Kenya na sasa naishi Majengo kwa Mtei-Moshi. Ukweli ni kwamba Mt. Kenya una barafu just like Kilimanjaro na pia hata kipofu atakataa kuwa unaweza kuuona mlima Kenya ukiwa Moshi.
 
Haina tatizo hawa ni jirani zetu wameonyesha tu kuwa sisi ni wamoja!!
 
mkuu si walisema mlima kilimanjaro ni pekee wenye barafu katika ukanda huu wa ikweta

Kuna vitu vidogo ukiondoa katika sentensi basi maana nzima inabadilika, Mlima Kilimanjaro ni mlima pekee wenye theluji majira yote ya mwaka ukanda wa Ikweta.
 
mkuu mlima kenya nauona nikiwa moshi,hauna barafu na ni mfupi sana,kilimanjaro ndio mlima wenye barafu peke yake africa

mkuu jaribu kuwa makini kidogo, jaribu kutueleza from which part of Moshi waweza ona mount Kenya, ukiwa Nairobi tu huo mlima bado hauonekani!
Pili acha kujidanganya, kuna milima mingi Afrika tu huwa inaweka theluji kama Mlima Meru, Oldonyo Lengai, Kenya n.k ila utofauti na Kilimanjaro theluji hiyo haikai mwaka mzima isipokuwa wakati wa majira ya baridi kali....
 
Picha ulizoweka mkuu hapo ni moja ya vilele vya Mlima Kenya, mazingira yanatetea hilo ingawa tunayaona kwa asilimia ndogo tu.
Pili katika hilo bati(wewe umeliita bendera), kuna mark point ya urefu 4989 na kuna jina Lenana, the only mountain peak with such a name inapatikana Mlima Kirinyagha(native name ya Mlima Kenya) tu.
 
je ingekuwa bendera ya nchi za ulaya au amerika ya kusini tungesemaje. Kuweka bendera kwa ajili ya picha si tatizo
 
Nadhani muanzisha thread amepitiwa kidogo. LENANA Peak ipo Mlima Kenya, na UHURU Peak iko Mlima Kilimanjaro. Hiyo bendera ya Kenya yaonyesha wazi kuwa ipo LENANA 4985m. Huu mjadala hauna mashiko!
 
mkuu jaribu kuwa makini kidogo, jaribu kutueleza from which part of Moshi waweza ona mount Kenya, ukiwa Nairobi tu huo mlima bado hauonekani!
Pili acha kujidanganya, kuna milima mingi Afrika tu huwa inaweka theluji kama Mlima Meru, Oldonyo Lengai, Kenya n.k ila utofauti na Kilimanjaro theluji hiyo haikai mwaka mzima isipokuwa wakati wa majira ya baridi kali....

nimestuka kusikia eti mtu anaweza akaona mlima Kenya akiwa Moshi! hata baadhi ya komenti ni za kushangaza ambazo zinaonyesha baadhi ya Watanzania hatuna maarifa hata kwa vitu vilivyotuzunguka licha ya vyanzo vingi vya habari tulivyonavyo.
 
:hatari::ballchain:
Hebu soma hapa ndo utajua watanzania tumelala

Best way to see and experience Mount Kilimanjaro


The best view of Mount Kilimanjaro comes from approaching the mountain from the northern Kenya side. The majority of pictures seen in magazines and travel guides feature this view. However, the best way to experience Mount Kilimanjaro is through taking a trek up the mountain
The six official trekking routes include Machame, Marangu, Lemosho, Rongai, Shira, and Umbwe. The easiest trek comes from the Rongai route, however this is also the least scenic. Machame is one of the more challenging treks, however it does offer the most attractive and scenic views. No matter which route you take, you will need to plan at least 5 to 7 days for the trek allowing for both travel and more importantly acclimation to the altitude.
Visitors who plan to trek up Mount Kilimanjaro need to evaluate their own physical abilities. It is imperative to understand that even experienced trekkers will fall victim to some levl of altitude sickness. The summit of Kilimanjaro is high enough that either high altitude cerebral edema (HACE) or high altitude pulmonary edema (HAPE) can occur. You should at least expect to experience shortage of breath, headaches and some elements of hypothermia. Taking 7 days versus 5 days creates a better chance for you to acclimate easier and reduce the altitude effects.
Further note: Although the summit of Kilimanjaro can be reached through a walk and is not technically a climb, it is still a strenuous trek. According to the Kilimanjaro National Park, only 41% of trekkers actually reach the peak. Plan, prepare and train if you look to explore Mount Kilimanjaro and experience this wonder of nature to the fullest.

Source: Mount Kilimanjaro | Seven Natural Wonders
 
Nadhani muanzisha thread amepitiwa kidogo. LENANA Peak ipo Mlima Kenya, na UHURU Peak iko Mlima Kilimanjaro. Hiyo bendera ya Kenya yaonyesha wazi kuwa ipo LENANA 4985m. Huu mjadala hauna mashiko!

matokeo ya silabasi za akina Mungai... zamani mambo madogo kama haya wanafunzi wa shule za msingi waliweza tofautisha hata kama hawakuwahi kuona hiyo milima kwa macho.
 
Kinachotusumua waTZ ni udhaifu wa akili...Yani vitu vidogo hua tunavi overlook just imagine watu wanavyochangia hii post as if wamefanya research yeyote inaonesha huo ni mlima KM...Mbona KENYA wana milima na watalii wengi wanapanda? Na afadhali alieweka post ya mTZ aliepanda mlima everest kwani nae alionesha bendera ya TZ...Mbona ata uku mikoani kuna sehemu watu wameweka bendera za US na apo ni Mareakani? Sasa watu wanaanza kumuhusisha rais JK mara ipo siku tutakuta ametuuza mara dhaifu Jamani uongozi sio kukurupuka, uongozi ni subira ebu tujaribu kua na akili timamu sometimez.....
 
naomba kujua wizara inayohusika na ulinzi wa mipaka yetu inafanya nini??halafu naomba kujua border kati ya tanzania na kenya ipo juu mlimani kilimanjaro?
View attachment 67877
Hawa jamaa ni baada ya kufika kileleni na kukuta bendera ya kenya
View attachment 67878
hapa wapo njiani kuelekea juu

.............aiseeeeh ! wewe jamaa ni mchonganishi daaah ! sasa hapa kigezo ni nini ili tujuwe huu ni mlima kilimanjaro ?
kama wapo uhindi huko Nepal utawabishia?
Hata ukiwa juu kileleni si dhambi kupiga picha na bendera ya taifa lako kwa kutangaza na kujifunia wewe mwenyewe kwa kufika hapo !
nashaanga watu wanachangia bila kufanya kauchunguzi hata kidogo !:A S embarassed:
 
Back
Top Bottom