Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,767
- 12,033
Kwan hao unawashadadia wamesaidia nini kwao mbona vurugu tupu 🐒Wewe akili zako ni ndogo.unafikiria hapa karibu tu ndo maana huna mawazo makubwa yakusaidia hii nchi miaka mingi ijayo.Unasahau kua utakufa na huna utakachokua umeisaidia nchi yako zaidi ya kua chawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kuiga none sense matters kutoka popote 🐒
Nisaidie nchi kiaje? na hapa nafanya nini kama sio kuzuia mawazo ya kizandiki kuvuruga amani nchini petu?
Na hamuezi kufanya kitu wala kwendra popote 🐒
wewe ni ndungu yake Mungu hutakufa 🤣
R.I.P Laigwanan comrade ENL