Wakenya wanaoishi nje ya nchi hutuma trilioni 10 nchini kwao, Watanzania hutuma bilioni 700, tukifata ushauri wa Lowassa kuhusu elimu, tutafikia Kenya

Wewe akili zako ni ndogo.unafikiria hapa karibu tu ndo maana huna mawazo makubwa yakusaidia hii nchi miaka mingi ijayo.Unasahau kua utakufa na huna utakachokua umeisaidia nchi yako zaidi ya kua chawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan hao unawashadadia wamesaidia nini kwao mbona vurugu tupu 🐒

Hatuwezi kuiga none sense matters kutoka popote 🐒

Nisaidie nchi kiaje? na hapa nafanya nini kama sio kuzuia mawazo ya kizandiki kuvuruga amani nchini petu?
Na hamuezi kufanya kitu wala kwendra popote 🐒

wewe ni ndungu yake Mungu hutakufa 🤣

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Katika nchi ambayo ina wasomi wengi sana nje ya nchi, ni Kenya. Kenya wamewekeza katika elimu ambayo inajibu mahitaji ya soko la dunia, wasomi wao wanakubalika sana duniani.

Katika kuenzi maisha na falsafa za Lowassa, ni vyema tiwekeze katika elimu ya watamzania, na tufungue milango kwa watanzania kwenda nje ya nchi kusaka fursa. Yale maswali yasiyo na maana kwa wanaotaka kwenda nje ya nchi yaondolewe.

Trilioni 10 wanazotuma wakenya nchini kwao ni sawa na robo ya bajeti ya Tanzania ya mwaka mzima. Fedha hiyo ikiingia, uchumi unachangamka.

Hatujachelewa, tuwekeze kwa watanzania katika elimu inayokidhi mahitaji ya soko. Kama ni wanafunzi wa DarTech, wapate elimu ya viwango vya juu, na wale wanafunzi bora wapate mafunzo kwa vitendo huko China, walau miaka miwili. Wale wa SUA waende katika nchi zilizofanikiwa katika kilimo na wakafanye mafunzo kwa vitendo katika vyuo bora vya huko.

Watu wa Wizara ya elimu, wasomi wa vyuo vya sayansi, waende china wakauchimbe mtaala wa elimu wa nchi hiyo, wajue kwa nini umejibu mahitaji ya jamii na sisi tunakwama wapi. Mtaala ufanyiwe analysis na vyuo vikuu bora vya nje ya nchi, ili waupime dhidi ya maslahi ya soko. Wasikae watu wa wizarani waliosoma hadithi za Juma na Roza wakaachiwa kuamua hatma ya kizazi cha artificial intelligence.

The same applies kwa masomo yote ya sayansi, na mengineyo ili tuwe na cream bora kabisa ya taifa hili ikituwakilisha nje ya nchi hii.

Kwa vijana wa sasa, wanaweza kusema Baba Levo na Mwijaku ndio role models wao, kumbe ni watu wa hovyo tu.

R.I.P Leigwanani Edward Ngoyai Lowassa, waliofanya attempts kadhaa juu ya uhai wako, wanakuja kukuombea upumzike kwa amani.
View attachment 2902031
Uliponikuna mm ni kwenye mtaala hapo ndo chanzo cha matatizo yote.Pitia huo mtaala ambao utaanza soon ni kituko na sijui kwa nini viongozi wetu hawataki kujifunza kwa majirani zetu.hata nchi kama malawi wako vizuri lkn Tz ni shida tupu
 
ulichosema kuhusu professionals ukweli kabisa. kuna lijamaa nalijua aisee lile jamaa ni nondo mbaya mno very competent na savy kwenye mautafiti. alikataa kazi Ulaya kisa baridi
yupo bongo apa anadhulumiwa tu pesa projects na kuhangaishwa na serikali ya ccm. namuonaga mjinga sana.
wakati mwingine ananipiga mm mzinga mbeba tofali
Unachokisema ni kweli, na kheri huyo aliyefuatwa, kuna watu hatari kichwani lakini unakuta wanatumika kwa bei ndogo sana sanaa na wengine wamafanya kazi behind the scene halafu sifa wanapewa watu wengine..

Hii nchi ukiwa brilliant na kupata gap nje, bora uondoke ili ukirudi na pesa. Unakuwa na njia nyingi za kufanya unachotaka ila ukitaka uanze toka chini, ni ngumu sana kutoboa maana waliokaa juu hawatokubali ufike juu maana ni threat kwa positions zao
 
Ww uko uliko unatumaga shingap nyumban kwenu
Na km utumi nyumban bas unatumaga kias gan kwa ndugu na jamaa uko kijinini tuanzie apo kwanza
 
Unachokisema ni kweli, na kheri huyo aliyefuatwa, kuna watu hatari kichwani lakini unakuta wanatumika kwa bei ndogo sana sanaa na wengine wamafanya kazi behind the scene halafu sifa wanapewa watu wengine..

Hii nchi ukiwa brilliant na kupata gap nje, bora uondoke ili ukirudi na pesa. Unakuwa na njia nyingi za kufanya unachotaka ila ukitaka uanze toka chini, ni ngumu sana kutoboa maana waliokaa juu hawatokubali ufike juu maana ni threat kwa positions zao
hapo nimebold mkuu umenigusa sana. kuna mtu wangu wa karibu umemgusa
 
historia ya Kenya harambee kuchangia masomo imeanza huko tangu miaka ya 1920 na utamaduni huo upo hadi leo 2024. Pia serikali ya Kenya inasapoti juhudi zinazofanywa na makundi au watu binafsi au wanasiasa wenye ushawishi ili vijana kupata fursa mbalimbali nje...

Lifting The Dreams Of Kenyan Students Abroad



View: https://m.youtube.com/watch?v=yChHbA8bPsg

more info :

The KENYA Airlift Program was founded in 2018 by two Kenyans; Mr. Bob Mwiti, the Managing Director Appstec America and Hon. DMK Kiogora the Member of County Assembly Abogeta West, Meru County.

The duo had a vision of impacting the lives of bright needy Kenyan youth.

Mr. Mwiti who relocated to USA in 2009 as an international student had a very challenging journey through the process, from getting denied visa 4 times to graduating and not being able to find work immediately, before he secured employment as a System Analyst with some of the Fortune 500 companies in the US. It’s from these challenges that he cofounded The KENYA Airlift Program together with Hon. DMK. Kiogora.

On the other hand, Hon DMK while on a trip to USA 2018, was inspired by the many Kenyans who had achieved the American dream, and during that trip he was introduced to Bob with whom he shared his vision of helping the Kenyan youth. Due to financial challenges faced during the relocation process, he formed the Airlift Sacco to finance the relocation expenses for the students in the program...

Source : The KENYA Airlift Program
 
Katika nchi ambayo ina wasomi wengi sana nje ya nchi, ni Kenya. Kenya wamewekeza katika elimu ambayo inajibu mahitaji ya soko la dunia, wasomi wao wanakubalika sana duniani.

Katika kuenzi maisha na falsafa za Lowassa, ni vyema tiwekeze katika elimu ya watamzania, na tufungue milango kwa watanzania kwenda nje ya nchi kusaka fursa. Yale maswali yasiyo na maana kwa wanaotaka kwenda nje ya nchi yaondolewe.

Trilioni 10 wanazotuma wakenya nchini kwao ni sawa na robo ya bajeti ya Tanzania ya mwaka mzima. Fedha hiyo ikiingia, uchumi unachangamka.

Hatujachelewa, tuwekeze kwa watanzania katika elimu inayokidhi mahitaji ya soko. Kama ni wanafunzi wa DarTech, wapate elimu ya viwango vya juu, na wale wanafunzi bora wapate mafunzo kwa vitendo huko China, walau miaka miwili. Wale wa SUA waende katika nchi zilizofanikiwa katika kilimo na wakafanye mafunzo kwa vitendo katika vyuo bora vya huko.

Watu wa Wizara ya elimu, wasomi wa vyuo vya sayansi, waende china wakauchimbe mtaala wa elimu wa nchi hiyo, wajue kwa nini umejibu mahitaji ya jamii na sisi tunakwama wapi. Mtaala ufanyiwe analysis na vyuo vikuu bora vya nje ya nchi, ili waupime dhidi ya maslahi ya soko. Wasikae watu wa wizarani waliosoma hadithi za Juma na Roza wakaachiwa kuamua hatma ya kizazi cha artificial intelligence.

The same applies kwa masomo yote ya sayansi, na mengineyo ili tuwe na cream bora kabisa ya taifa hili ikituwakilisha nje ya nchi hii.

Kwa vijana wa sasa, wanaweza kusema Baba Levo na Mwijaku ndio role models wao, kumbe ni watu wa hovyo tu.

R.I.P Leigwanani Edward Ngoyai Lowassa, waliofanya attempts kadhaa juu ya uhai wako, wanakuja kukuombea upumzike kwa amani.

Tanzania ni afadhali ukaulizie bangi kituo cha Polisi kuliko kuomba Passport Uhamiaji, ukiwa Mhindi, Mwarabu, Msomali kuipata ni faster tu.
Ngoja uwe Mmatumbi halafu jina muonekano, au uwezo ufanane na nchi jirani zenu...yani cha moto utakiona
 
Tanzania ni afadhali ukaulizie bangi kituo cha Polisi kuliko kuomba Passport Uhamiaji, ukiwa Mhindi, Mwarabu, Msomali kuipata ni faster tu.
Ngoja uwe Mmatumbi halafu jina muonekano, au uwezo ufanane na nchi jirani zenu...yani cha moto utakiona

Ni ushamba mwingi wenyewe wanaona ni uzalendo, kumbe ni uzalendo uchwara wa roho mbaya
 
hapo nimebold mkuu umenigusa sana. kuna mtu wangu wa karibu umemgusa
Ndio maisha ya mjini mkuu, watu wengi wanaojipa promo kwenye media hadi kukabidhiwa nafasi kubwa kubwa. Wengi ndio biashara zao na mbaya zaidi watu smart sana huwa wanajali sana kazi kuliko maslahi yao ndio maana mwisho wa siku wananyonywa sana.
Ila tutafanyaje mkuu, tuishi humo tu
 
Tanzania imeshika Mkia pamoja na Burundi Kwa kupokea pesa(remittance ) Kiduchu sana zinazotokana na Wananchi wake waliko Nje ya Nchi (Diaspora).

Kwa wale msiofahamu remittance zinahesabika ni Kati ya vyanzo vya Fedha za kigeni kama Dola nk Kwa Nchi.Pia ni vyanzo vikuu vya kukuza uchumi Kwa njia ya uwekezaji na Utalii.

Sasa Kwa Tanzania kuwa ya Mwisho kiukweli inafedhehesha.Licha ya kuachana na ujamaa Kwa zaidi ya miaka 25 Sasa ila athari zake Bado ni kubwa sana kwenye fikra na mtizamo wa watu.

Ujamaa umesababisha Watanzania Kila kitu ni kulaumu na kulalamikia Serikali hata pale inapofungua fursa Bado watu wanataka wasukumwe au waoneshwe.

Aidha Bado taasisi za kiserikali zimekaa kiudhibiti na kukomoana badala ya kuwa wawezeshaji.Kupata passport Kwa Tanzania ni anasa maana Kuna vikwazo na urasimu isivyo kawaida.

Ukiangalia Nchi za wenzetu huko wanapigana Kufa kupona hawaogopi kifo kuhama na kwenda Nje ya Nchi ambako wanaamini wanaweza pata maisha Bora zaidi mfano Wasomali,Waethiopia,Wakenya , Nigerians nk ila huwezi sikia Mtanzania amekamatwa Nje ya Nchi kama mhamiaji haramu sana sana utawakita kwenye ugaidi usio na faidia kwao ,Taifa na familia.

Watanzania tufunguke maana fursa za Maisha zinapatikana mahala popote.Huwa naona matangazo ya scholarships kibao ila Wabongo hawajitokezi Kwa kiwango hicho kutokana na hofu zisizo na msingi.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C3QYv4pNXlw/?igsh=MWcyMWw0b2Q3Njk3cQ==

My Take
Ndugu zangu Wabongo tubadilike,Maisha Bora yanahitaji kuwa aggressive vinginevyo tutaishia kulaumu,kutegemea miujiza na maigizo ya Wanasiasa na watafuta fursa.

Tusiogope ushindani tukapambane,tusomeshe Watoto Wetu kupambana Duniani,tunazidiwa mbali sana na Majirani zetu kwenye nyanja mbalimbali na ndio maana tunaogopa free movements of trade and Labour.👇👇


View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1712116594938122403?t=leN8oacL4sBM9PdmHoZk9g&s=19

Naam
 
Naona ata Somalia inatuzidi kupoke
Katika nchi ambayo ina wasomi wengi sana nje ya nchi, ni Kenya. Kenya wamewekeza katika elimu ambayo inajibu mahitaji ya soko la dunia, wasomi wao wanakubalika sana duniani.

Katika kuenzi maisha na falsafa za Lowassa, ni vyema tiwekeze katika elimu ya watamzania, na tufungue milango kwa watanzania kwenda nje ya nchi kusaka fursa. Yale maswali yasiyo na maana kwa wanaotaka kwenda nje ya nchi yaondolewe.

Trilioni 10 wanazotuma wakenya nchini kwao ni sawa na robo ya bajeti ya Tanzania ya mwaka mzima. Fedha hiyo ikiingia, uchumi unachangamka.

Hatujachelewa, tuwekeze kwa watanzania katika elimu inayokidhi mahitaji ya soko. Kama ni wanafunzi wa DarTech, wapate elimu ya viwango vya juu, na wale wanafunzi bora wapate mafunzo kwa vitendo huko China, walau miaka miwili. Wale wa SUA waende katika nchi zilizofanikiwa katika kilimo na wakafanye mafunzo kwa vitendo katika vyuo bora vya huko.

Watu wa Wizara ya elimu, wasomi wa vyuo vya sayansi, waende china wakauchimbe mtaala wa elimu wa nchi hiyo, wajue kwa nini umejibu mahitaji ya jamii na sisi tunakwama wapi. Mtaala ufanyiwe analysis na vyuo vikuu bora vya nje ya nchi, ili waupime dhidi ya maslahi ya soko. Wasikae watu wa wizarani waliosoma hadithi za Juma na Roza wakaachiwa kuamua hatma ya kizazi cha artificial intelligence.

The same applies kwa masomo yote ya sayansi, na mengineyo ili tuwe na cream bora kabisa ya taifa hili ikituwakilisha nje ya nchi hii.

Kwa vijana wa sasa, wanaweza kusema Baba Levo na Mwijaku ndio role models wao, kumbe ni watu wa hovyo tu.

R.I.P Leigwanani Edward Ngoyai Lowassa, waliofanya attempts kadhaa juu ya uhai wako, wanakuja kukuombea upumzike kwa amani.

Mkuu naona ata Somalia inatuzidi kupokea pesa za ndugu zao walioko nje.Je,na Solamia wana elimu nzuri kuliko ya Tanzania? Wakati mwingine kuna haja ya kujua mambo haya kwa undani au kuuliz aili mtu upate elimu.
 
Naona ata Somalia inatuzidi kupoke

Mkuu naona ata Somalia inatuzidi kupokea pesa za ndugu zao walioko nje.Je,na Solamia wana elimu nzuri kuliko ya Tanzania? Wakati mwingine kuna haja ya kujua mambo haya kwa undani au kuuliz aili mtu upate elimu.
Sisi tuchague engo ya elimu, ulitaka tukateke meli kama wasomali
 
Umeme na sukari imetushinda ......wana ccm washaandaaa power bank ya kuchaji train ya umeme.......maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom