Wakenya wamlilia Magufuli wetu

Wakenya wamlilia Magufuli wetu

Mbona UK ana ukali kama wa Dk.Magufuli,kama sikosei amekwisha watimua Mawaziri na Viongozi wala rushwa, Kenyatta hana mchezo kabisa nisijue mambo mengine.
 
nyie mijitu ya tz iko kama imerogwa.waweza shangilia presida yuko na wiki moja kwa ofisi.
 
Alokwambia wakenya wana shida na UKenyatta kutembea nchi za nje ni nani?Unadhani anatembeza kibakuli kama vasco da gamma wenu JK?Mara nyingi anaenda chapa dili au kuongea na wakenya 'diaspora' na faida yake inawafikia wakenya.Propaganda za vyama vyenu peleka uswahilini hatuna wakati wa umbea sie wakenya!
 
Naona facebook page za citizen tv na NTV, wamezungumzia suala la magufuli na muhimbili. Most kenya comments wanalilia wangepata raisi kama huyo maana ufisadi kenya umewachosha
 
Wenzio Kenya wako matawi mengine, huwezi linganisha naTz. US$ haizidi Ksh. 100, sie twachezea Tshs 2350......
 
Propaganda za MACCM hazina mashiko kabisa.
Kuna Liccm Jana lilikwama ada ya mtoto, likawa linanipigia simu kunikopa, nikaliambia liisome namba! silipi hata senti tano.


sasa tukusaidiaje...?!!
 
Si uende huko Kenya ukajikombe vizuri basi?

Hivi maono kama haya watz wengine waliyatoa wapi au niongee lugha mnayoifahamu,aliyeroga watz kama hawa ni nani?Maanake mtz mwenzenu akinena jambo mbaya kuhusu Kenya nyie hao! na mbwembwe nyingi mnachangia kwa furaha lakini yakinenwa mazuri kuhusu Kenya mnatokwa na mihemko mkinyamnyamazisha alonena hayo mazuri.Duh nawashangaa si haba maanake mtatokwa na vidonda vya tumbo buuureee!
 
Wenzio Kenya wako matawi mengine, huwezi linganisha naTz. US$ haizidi Ksh. 100, sie twachezea Tshs 2350......

Usidhani hiyo 100 ya kenya ni sawa na ya Tz upatikanaji wake, hauipati hovyo, neno mia na elfu mbili visikuchanganye.
 
Usidhani hiyo 100 ya kenya ni sawa na ya Tz upatikanaji wake, hauipati hovyo, neno mia na elfu mbili visikuchanganye.

Duh!wewe umefika Kenya kweli?Eti mia haipatikani kwa urahisi,kwani wewe ni ombaomba,ukifanya kazi,kwako mia Kenya si kitu.
 
Kunamakundi makubwa mawili ya watu katika kila linalotokea, lipo kundi la wale wanaoona kila kitu sawa tu na waleambao huona kuwa kuna kitu hakijakamilika katika yale yaliyotendeka.

Wale wanaoona kuwa kilitokea sawa hawa ni wale wasioweza kuona mbali katika vision na mission

wale wanao ona kuwa lilipo halijafikia malengo ni wale ambao wanaweza kutazama na kuona kuwa kunajambo laziada ambalo serikal ilitakiwa kufanya kulingana na wakati.

WASOMI MTUSAIDIE SISI TUSIONA UPEO KUONA WAPI TUELEKEE
 
Kuna jamaa yangu wa pande za Nairobi akasema"Now you have a president "
 
Makufuri alivyo chukua nchi kilaisi hata bila kuumiza kichwa ninahisi labda hata mimi siku moja ninaweza kuja kuwa rais. Makufuri amechukua nchi kimasihala sana.
 
Tangu Watanzania tulambe dume kwa kumchagua Dr.Pombe Magufuli jirani zetu Wakenya wamekuwa wakitutamani sana na kuombea kama nao wangeweza kupata Raisi kama wetu!

Nilikuwa huko juzi na kila niliyeongea naye kwa kweli wamevutiwa sana na kasi na utendaji wa Magufuli na wangetamani kama na wao wangekuwa na Raisi kama Magufuli hasa kile kitendo cha kufuta safari za nje za Viongozi wanasema wangetamani Uhuru Kenyata naye angefanya hivyo kwa maana jamaa anashinda angani!

Ona hili ma.ta.ko nalo! Utamlinganisha na UK?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom