Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Tangu Watanzania tulambe dume kwa kumchagua Dr.Pombe Magufuli jirani zetu Wakenya wamekuwa wakitutamani sana na kuombea kama nao wangeweza kupata Raisi kama wetu!
Nilikuwa huko juzi na kila niliyeongea naye kwa kweli wamevutiwa sana na kasi na utendaji wa Magufuli na wangetamani kama na wao wangekuwa na Raisi kama Magufuli hasa kile kitendo cha kufuta safari za nje za Viongozi wanasema wangetamani Uhuru Kenyata naye angefanya hivyo kwa maana jamaa anashinda angani!
Nilikuwa huko juzi na kila niliyeongea naye kwa kweli wamevutiwa sana na kasi na utendaji wa Magufuli na wangetamani kama na wao wangekuwa na Raisi kama Magufuli hasa kile kitendo cha kufuta safari za nje za Viongozi wanasema wangetamani Uhuru Kenyata naye angefanya hivyo kwa maana jamaa anashinda angani!