Usichanganye kufanya assembly na kutengeneza from designing level,
hapo kinachofanyika nikukusanya kusanya tu raw devices material, kama ambacho nahisi wamefanya hao wakenya.
Kaka ingekuwa hivyo ndivyo ilivyo basi devices nyingi zingekuwa zimetengenezwa china,
Apple wenyewe tu hawawezi kufanya assembly ya devices zao Marekani, wanafanyia China kwasabu ya labor forces, mpaka Obama alimuuliza Steve jobs why ipo hivyo.
Mwaka 2012 ndo baadhi ya Mac zilikuwa assembled in US
Nokia nao wanafanyia baadhi ya device zao China n.k
lakini utaona zimeandikwa Assembly in China/Thailand or whatever ila Sio Made in China/Thailand.
laptop/desktop utengenezaji wake si kama wa simu.
mwezi uliopita na mimi nimejenga computer yangu mwenyewe vifaa nikitolea hapa hapa tanzania na baadhi ya thread zipo humu wakati nikiulizia vifaa. kila kitu cha desktop/laptop kinauzwa kivyake unanunua unapoona mwenyewe bei rahisi na kujenga computer yako. hivi ni baadhi ya vifaa vinavyotumika kujenga computer.
cpu- intel au amd
hdd/ssd- samsung, toshiba, san disk, intel, crucial nk wapo wengi sana
ram- crucial, kingstone, nk wanafanana na hao hapo juu wengi
motherboard- gigabyte, msi, corsair, asus nk
psu (powersuply)- silverstone nk
case- silverstone, corsair, shuttle nk
kuna vitu kama gpu, mlango wa cd, feni ambalo sio stock na vyengine.
wakati simu unatoa order toka makampuni yanayotoa hivyo vifaa na inahitaji wataalamu kudesign na kuvifunga pamoja ili vifanye kazi, computer inakuwa assembled gheto tu, hakuna haja ya mtaalamu almost kila mtu anaweza tengeneza computer akipata vifaa hivyo hapo juu.
computer zipo mature sana usikariri utengenezaji wa simu na mambo ya assembly ukafkiri na computer navyo ni hivyo hivyo, nenda kvd utapata motherboard, nenda mosque street utapata processor, nenda aggrey gpu zipo, ram zimejaa kibao, hdd za kumwaga, case tumia la computer yako ya zamani