Wakenya waja na Taifa A3 Laptop

kama mwezi tu uliopita nimemtengenezea mtu computer, si kitu cha ajabu kaka na watu wanatengeneza sana tu. tena siku hizi kwa laptop wamezidi kufanya mambo rahisi kuna barebone zimetengenezwa kila kitu unachomeka tu cpu, ram na hdd.

313qDucD3nL._SX355_.jpg


hii ni barebone imetengenezwa na msi kwa ajili ya gamers, inaingia processor yoyote ya haswell mobile, unaweza ipeleka kampuni yoyote ya laser printing ukaeka logo yako wala mtu asijue imetengenezwa na nani
umenifumbua macho ujue? mchezo huo hata uganda wanao kwenye magari body hammer enginee Cruser
 
Bigup kwa achievements ingawa specs cyo kubwa sana ila ni ishara ya wanzo wa computer revolution africa
 
Kwani dell , hp, toshiba,samsung nk wanaunda kila kitu?

Uundaji wa vitu vya electronics sio sawa na shughuli za kilimo unaanza kupanda , kupalilia hadi kuvuna.

Chukua computer ya dell angalia Battery imetengenezwa wapi...
Angalia Hard disk ni ya kampuni gani.....
Angalia processor ni ya kampuni gani na imetengenezwa wapi....
Adapter na screen pia....

Kila kitu ni KU BRAND TUU. angalia Samsung NOTE 7 kilichowakuta ndio utaelewa.

Hivyo walichokifanya wakenya ni kama kile kinachofanywa na kampuni kubwa zingine duniani sio kwamba hao wengine hao wengine wana vitu vyao wenyewe ila wanabrand jina lao kwenye baadhi ya vitu kama vile battery, hdd na charger etc...
 
Kwani dell , hp, toshiba,samsung nk wanaunda kila kitu?

Uundaji wa vitu vya electronics sio sawa na shughuli za kilimo unaanza kupanda , kupalilia hadi kuvuna.

Chukua computer ya dell angalia Battery imetengenezwa wapi...
Angalia Hard disk ni ya kampuni gani.....
Angalia processor ni ya kampuni gani na imetengenezwa wapi....
Adapter na screen pia....

Kila kitu ni KU BRAND TUU. angalia Samsung NOTE 7 kilichowakuta ndio utaelewa.

Hivyo walichokifanya wakenya ni kama kile kinachofanywa na kampuni kubwa zingine duniani sio kwamba hao wengine hao wengine wana vitu vyao wenyewe ila wanabrand jina lao kwenye baadhi ya vitu kama vile battery, hdd na charger etc...
mkuu unajua gharama ya kudesign kifaa kimoja? ni mabilioni ya hela,

ndio vifaa vya ndani wananunua toka makampuni mengine lakini usifikiri ukiwa na vifaa hapo hapo unakuwa designer mzuri wa laptop, inahitaji ma engineeer wenye uwezo mkubwa kudeliver product nzuri.

mfano tuchukulie laptop zinazoaminika an makampuni mengi duniani yaani thinkpad za lenovo (zamani ibm)

ukiwa na thinkpad ukifanya benchmark ya cpu utaona upo above average, siku zote yako itazidi kidogo perfomance sababu ya cooling nzuri na design ya uhakika, kwa kutumia same battery laptop yako itakaa na chaji kuliko laptop nyengine yenye same specs etc

kampuni ndogo kama hizo Taifa, chuwi, honda, Tecno na wengine wanaotengeneza vifaa vya windows kama hao wanatumia ready made design, kina intel wamehangaika wakatumia mabilioni ya research na kutoa design fulani kwa ajili ya vikampuni vidogo kutumia, sifahamu Taifa katumia design ipi ila najua design kadhaa za namna hii

mfano angalia hii design ya baytrail/braswell/apollo lake

portwell-pcom-b632vg.jpg


unapewa motherboard ambayo ina cpu imeshagandishwa, nyengine ram zimegandishwa au unaeka mwenyewe, nyengine storage za kugandishwa au unaeka mwenyewe. hapo unavisha kasha na kueka tu power supply, na sababu hizo low powered cpu unaweza tumia chaja ya simu au tablet yenye amps kubwa.

lakini leo kanunue desktop au laptop ya dell ndani utakuta katumia motherboard yake mwenyewe, muulize mtu anaeunda desktop yake mwenyewe akupe story ya motherboard za hp na dell na ugumu wa power supply na vitu kama hivyo. wangekuwa hawajadesign wao tungevipata kirahisi ila sababu wamedesign wao ndio maana ni kazi ngumu kuvipata.

kuhitimisha mkuu
-kina dell, hp, lenovo etc wapo level yao vifaa vyao wanadesign wenyewe na ni vizuri (kwenye laptop na compact device nyengine)
-haya makampuni madogo hawadesign wao wanategemea kununua design ambazo zimetengenezwa na kupachika tu na quality zao hazilingani na wa juu
-kila.mtu hata mimi na wewe tunaweza tengeneza pc zetu sio sanaa ngumu
 
mkuu unajua gharama ya kudesign kifaa kimoja? ni mabilioni ya hela,

ndio vifaa vya ndani wananunua toka makampuni mengine lakini usifikiri ukiwa na vifaa hapo hapo unakuwa designer mzuri wa laptop, inahitaji ma engineeer wenye uwezo mkubwa kudeliver product nzuri.

mfano tuchukulie laptop zinazoaminika an makampuni mengi duniani yaani thinkpad za lenovo (zamani ibm)

ukiwa na thinkpad ukifanya benchmark ya cpu utaona upo above average, siku zote yako itazidi kidogo perfomance sababu ya cooling nzuri na design ya uhakika, kwa kutumia same battery laptop yako itakaa na chaji kuliko laptop nyengine yenye same specs etc

kampuni ndogo kama hizo Taifa, chuwi, honda, Tecno na wengine wanaotengeneza vifaa vya windows kama hao wanatumia ready made design, kina intel wamehangaika wakatumia mabilioni ya research na kutoa design fulani kwa ajili ya vikampuni vidogo kutumia, sifahamu Taifa katumia design ipi ila najua design kadhaa za namna hii

mfano angalia hii design ya baytrail/braswell/apollo lake

portwell-pcom-b632vg.jpg


unapewa motherboard ambayo ina cpu imeshagandishwa, nyengine ram zimegandishwa au unaeka mwenyewe, nyengine storage za kugandishwa au unaeka mwenyewe. hapo unavisha kasha na kueka tu power supply, na sababu hizo low powered cpu unaweza tumia chaja ya simu au tablet yenye amps kubwa.

lakini leo kanunue desktop au laptop ya dell ndani utakuta katumia motherboard yake mwenyewe, muulize mtu anaeunda desktop yake mwenyewe akupe story ya motherboard za hp na dell na ugumu wa power supply na vitu kama hivyo. wangekuwa hawajadesign wao tungevipata kirahisi ila sababu wamedesign wao ndio maana ni kazi ngumu kuvipata.

kuhitimisha mkuu
-kina dell, hp, lenovo etc wapo level yao vifaa vyao wanadesign wenyewe na ni vizuri (kwenye laptop na compact device nyengine)
-haya makampuni madogo hawadesign wao wanategemea kununua design ambazo zimetengenezwa na kupachika tu na quality zao hazilingani na wa juu
-kila.mtu hata mimi na wewe tunaweza tengeneza pc zetu sio sanaa ngumu


Ninachomaanisha ni uhalisia. Ni kitu ninacho kiona PHYSICALLY. Dell,samsung, hp compaq hawatengenezi vitu vyao wenyewe bali wana OUTSOURCE kutoka kampuni mbali mbali na kufanya BRANDING pamoja na kuweka vigezo vya ubora wanaoutaka wao. Wakati mwingine hata kuBrand hawaBrand. N ahii sio kwa computer peke yake, ni kwa vitu vyote vya electronics ndio maana unaweza kukuta Radio ya SONY ina Transformer ya Mitsumi au motor ya Mitsumi au Lens ya MiKKo.

angalia mfano kidogo hapo chini. hiyo ni Monitor ya dell nimeifungua:

DISPLAY PCB NI YA BENQ na ROM ni ya GENESIS ambayo ndio jina linalotokea wakati unapoiwasha
DISPLAY PCD.jpg




ANGALIA POWERBOARD NI YA BENQ:
POWER BOARD YA DELL LCD.jpg






angalia LCD ni ya LG PHILLIPS
LCD.jpg



na hii ndio plastic cover yake.
PLASTIC COVER.jpg

WP_20170201_14_42_42_Pro.jpg

WP_20170201_14_42_42_Pro.jpg



ANGALIA POWERSUPPLY YA COMPAQ EVO D50S INATUMIA FENI YA KAMPUNI GANI
FAN YA COMPAQ PSU.jpg

COMPAQ PSU.jpg
 
Ninachomaanisha ni uhalisia. Ni kitu ninacho kiona PHYSICALLY. Dell,samsung, hp compaq hawatengenezi vitu vyao wenyewe bali wana OUTSOURCE kutoka kampuni mbali mbali na kufanya BRANDING pamoja na kuweka vigezo vya ubora wanaoutaka wao. Wakati mwingine hata kuBrand hawaBrand. N ahii sio kwa computer peke yake, ni kwa vitu vyote vya electronics ndio maana unaweza kukuta Radio ya SONY ina Transformer ya Mitsumi au motor ya Mitsumi au Lens ya MiKKo.

angalia mfano kidogo hapo chini. hiyo ni Monitor ya dell nimeifungua:

DISPLAY PCB NI YA BENQ na ROM ni ya GENESIS ambayo ndio jina linalotokea wakati unapoiwashaView attachment 466054



ANGALIA POWERBOARD NI YA BENQ:
View attachment 466055





angalia LCD ni ya LG PHILLIPS
View attachment 466057


na hii ndio plastic cover yake.
View attachment 466059
View attachment 466060
View attachment 466061


ANGALIA POWERSUPPLY YA COMPAQ EVO D50S INATUMIA FENI YA KAMPUNI GANI
View attachment 466062
View attachment 466063

hakuna anaebisha mkuu soma post zangu za juu, ila kuwa na vifaa hakumaanishi eti ndio umemaliza kazi,

mfano kwanini unanunua simu na hununua component za ndani? kuna mtu mmoja duniani anaweza kudesign simu kama galaxy s7 au akatengeneza computer kama macbook? jibu ni hapana vikishapatikana hivyo vitu inabidi udesign, makampuni sio wajinga kuwa na wafanyakazi 100,000 au zaidi kama mambo yangekuwa rahisi hivyo. ukiona zile iphone chini zimeandikwa designed at calfornia zina maana yake.

hivyo vyote ulivyotaja ukivieka juu ya meza havifanyi kazi hapo hapo kuna wataalamu walikaa chini wakapoteza mabilioni kama sio matrilioni kusema hichi kikae hapa na hiki kikae kule, huyu aungwe na huyu, yule aungwe kule mpaka unaona vinafanya kazi.

mfano rahisi kibongo bongo angalia fundi seremala,
mbao kanunua, misumari kanunua, vanish kanunua, randa hajatengeneza yeye na msasa pia sio wake lakini si anatengeneza kiti? na kiti chake hakifanani na seremala mwengine japo wote wanatumia randa hio hio, wote wana mbao na misumari. hapo linakuja suala la design.
 
hakuna anaebisha mkuu soma post zangu za juu, ila kuwa na vifaa hakumaanishi eti ndio umemaliza kazi,

mfano kwanini unanunua simu na hununua component za ndani? kuna mtu mmoja duniani anaweza kudesign simu kama galaxy s7 au akatengeneza computer kama macbook? jibu ni hapana vikishapatikana hivyo vitu inabidi udesign, makampuni sio wajinga kuwa na wafanyakazi 100,000 au zaidi kama mambo yangekuwa rahisi hivyo. ukiona zile iphone chini zimeandikwa designed at calfornia zina maana yake. Kaka unaakili sana nshakusoma kabisa na dunia ndo iko hivo hata toyota na ukubwa wote anashirikisha vitu vingi
 
Tanzania zimejaa kibao

-tuna piki piki zinaitwa mkombozi
- kuna simu zinaitwa GSM (za jamaa wa homeshoping)
-ukizunguka maduka ya simu kuna brand za ajabu ajabu Mara sjui disko nk

Kubrand kitu au Ku assemble hakuhitaji ujuzi kunahitaji hela, ukiwa na hela then unatengenezewa na wachina.

Siku Kenya wakifanya invention ya kitu cha ndani ya laptop au wakianza kutengeneza component zao then ndio watakuwa na haki ya kujigamba
Kweli mkuu hata ile brand ya "BOSS" ni ya Tanzania ila vitu vinatengezwa China
 
Back
Top Bottom