The Certified
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 910
- 773
umenifumbua macho ujue? mchezo huo hata uganda wanao kwenye magari body hammer enginee Cruserkama mwezi tu uliopita nimemtengenezea mtu computer, si kitu cha ajabu kaka na watu wanatengeneza sana tu. tena siku hizi kwa laptop wamezidi kufanya mambo rahisi kuna barebone zimetengenezwa kila kitu unachomeka tu cpu, ram na hdd.
hii ni barebone imetengenezwa na msi kwa ajili ya gamers, inaingia processor yoyote ya haswell mobile, unaweza ipeleka kampuni yoyote ya laser printing ukaeka logo yako wala mtu asijue imetengenezwa na nani