Ndio nashangaa, hapo aliposema lugha ndio sijamuelewa kabisa, labda anamaanisha kisukuma.Wajaribu kusema nini?
Kwa utafiti niliofanya nimegundua wakenya wengi tupo sharp kuliko nyinyi watanzania.Huwa nacheka pale Mkenya anapo mcheka Mtanzania kwa mambo madogo madogo lakini anashindwa kuelewa huyo unayemcheka ndie aliyetengeneza lugha ambayo sasa unaitumia.
Huyu punguani hafahamu kuwa lugha ya kiswahili iliibuka kutoka kwa wapokomoNdio nashangaa, hapo aliposema lugha ndio sijamuelewa kabisa, labda anamaanisha kisukuma.
Sharp wa kutapeli maana mna tabia za kishamba kama Nigerian,Dubai,Malaysia kote mna sifa mbaya kwa hiyo kwenu wizi ndio ujanjaKwa utafiti niliofanya nimegundua wakenya wengi tupo sharp kuliko nyinyi watanzania.
nyie watanzania na sifa yenu ya uoga , upole na ukondoo mme accomplish nini cha ziada zaidi ya kuburuzwa na ccm ?Sharp wa kutapeli maana mna tabia za kishamba kama Nigerian,Dubai,Malaysia kote mna sifa mbaya kwa hiyo kwenu wizi ndio ujanja