Wakenya na Passpoti za Tanzania

Wakenya na Passpoti za Tanzania

Ubishi wa hovyo kabisa. Nchi you ni ya watanzania wageni wanakaribishwa lakini siyo kwa stahili ya uroho wa wakenya
 
Punguza siasa mkuu. Ishu muhimu kama hii ukiweka siasa unahalibu sana. Jibu unalo mwenyewe kwamba mtanzania ni mtu aliyezaliwa apa au aliyefata taratibu maalum za kuwa mtanzania, lakini ishu kama hii ukileta siasa unahalibu sana. Hii nimekutana nayo hata mimi, awa Wakenya na wanyarwanda na warundi wanakuja apa Tanzania wanafanya kuoa au kuolewa na mtanzania kwa ajili ya kupata uraia wa Tanzania. Baada ya apo ananunua aridhi ya kutosha na analeta ndugu zake wanajazana apa Tanzania na kufanya ujasiliamali wa kulima au kufuga na kufanya biashara apa Tanzania.
Mfano mzuri ni Mbunge wa Kiteto na dharau kubwa kwa Wantazania kila siku kwake Wantanzania ni wajinga na ndiyo maana kwenye biashara zake zote ameajiri Wanyarwanda ili siri zake zisifuje? Wafanyakazi wakinyarwanda awewaajiri kuazia mashambani hadi kwenye maduka yake ya jumla
 
Mfano mzuri ni Mbunge wa Kiteto na dharau kubwa kwa Wantazania kila siku kwake Wantanzania ni wajinga na ndiyo maana kwenye biashara zake zote ameajiri Wanyarwanda ili siri zake zisifuje? Wafanyakazi wakinyarwanda awewaajiri kuazia mashambani hadi kwenye maduka yake ya jumla
Huyo mbunge ni nani? hebu weka taarifa vizuri ajulikane.
 
Sijaribu kujustify chochote kile, bali najaribu kuelezea hali halisi kwamba swala la Uraia Tanzania ni gumu sana kwa sababu sehemu kubwa ya watu wa Tanzania Serikali haiwajui, Tanzania kuna watu wanazaliwa, wanakuwa, wanazeeka wanakufa na kuzikwa Serikali haijui chochote kuhusu wao kama hata walikuwepo, na hii ni Karne ya 21, sasa tungeanza kushughulikia hilo kwanza!
Sina tatizo na hilo tena mada yako inahitaji mjadala wa kina! Lakini hapa ulipoileta si pahala pake na matokeo yake inaonekana wazi ni hoja inayojaribu ku-justify tukio zima. Kimsingi, hata kama kuna wanaokutuhumu Unyarwanda n.k lakini kwangu naona unajaribu ku-justify hii corruptive practice from sensitive government department... your beloved government! Jambo lisilo na shaka kwenye hii mada ni suala la CORRUPTION! Hata kama hao jamaa wangekuwa ni Watanzania bado suala la corruption lipo pale pale kwa sababu passport inayopatikana kwa njia halali hazipatikani through mentioned delivery channel!

Na kwavile tatizo hapa ni corruption basi hata huo ushauri wako mzuri wa kuanza kufahamu who's Tanzanian bado utakuwa ni useless! Utakuwa ni useless kwa sababu even known non-Tanzanians watakuwa declared as Tanzanians kwa mtindo ule ule uliogeuza restaurant kuwa Immigration Office!

Hivyo basi, badala ya kuanza kushughulikia pendekezo lako tungeanza kwanza kushughulikia tatizo la corruption!!!!
 
Unajua hii nchi watu wamefundishwa chuki,fitina na uhasidi,hii nchi haitiendelea tusipo badilika,ukifika namanga upande wa kenya mtanzania unagongewa miezi tatu hata sita ukitaka ,kwetu mkenya anapewa mwisho siku saba mimi sielewi tuliingia E.A.C kwa nini,toka mwalimu kulikuwa na kipindi maalum ya majungu ilikuwa inaitwa Mikingamo,sasa vizazi vilivyo fuata vimekuwa ni chuki,wivu,fitina na uhasidi dhidi ya walionacho,kwani ardhi wakinunua na wewe siununue kama unaweza?penda usipende dunia inabadilika na kama mnataka viwanda sheria ya ardhi lazima itabadilika kama dunia ingine,hivi ardhi ya tanzania inathamani kuliko dunia ingine?mbona marekani,canada,uk nk watu wanaruhusiwa kununua ardhi,hii ni chi pekee watu wanakaa kwenye kahawa kubishania mpira,siasa na mali ya watu.
Kwahiyo hiyo EAC ndiyo inatoa ruhusa ya watu kupewa pasi za kusafiria restaurant? Au hiyo EAC ndiyo inayosema raia mmoja wa nchi mojawapo ya EAC anaweza kupewa passport ya nchi nyingine?!

Issue hapa ni kwamba, kama hao watu walikuwa na uhalali wa kisheria kupata passport, kwanini basi waletewe kwa makundi tena wakiwa restaurant?! Hiyo chuki unayoisema wewe ipo wapi hapo?! Kupigiwa muhuli Namanga ndo nini? Ina maana hujui dunia hii kuna nchi kibao ambazo zina visa waive kwa raia wa nchi nyingine?! Kwa mfano, Mtanzania anaweza kuingia Singapore bila visa! Kwahiyo ndo unataka kusema Mtanzania ana haki ya kupata pasi ya kusafiria ya Singapore?!
 
Mtanzania ni yule anayeweza kutrace kizazi mpaka cha tano...ukiona jitu linapinga ujue livamizi
 
Ni kweli ila hujasema kwanini passport zitolewe kiholela

Kiholela ni vibaya mzee na sidhani kama kuna mtu ataliafiki.

Sema kuna watanzania pia wanatengeneza pass fake ukiachana na migration. Mianya inatakiwa kuzibwa.
 
Mkuu hili swala siyo la kuletea ushabiki wa kichama. Mimi CCM kama wewe, sema tofauti silipwi elfu 7 kuandika kama wewe. Natetea taifa.....tumevamiwa na wakenya, wachina na wanyarwanda

Lana ya uvamizi na mauwaji na kuwatia ndani masheikh Kule Zanzibar itawatafuna sana Watanganyika. Kuepukana nayo ni kuiwachia huru Zanzibar na kuwaomba msamaha. Venginevyo endeleeni kuteseka kama mnavyowatesa wao
 
Sijaribu kujustify chochote kile, bali najaribu kuelezea hali halisi kwamba swala la Uraia Tanzania ni gumu sana kwa sababu sehemu kubwa ya watu wa Tanzania Serikali haiwajui, Tanzania kuna watu wanazaliwa, wanakuwa, wanazeeka wanakufa na kuzikwa Serikali haijui chochote kuhusu wao kama hata walikuwepo, na hii ni Karne ya 21, sasa tungeanza kushughulikia hilo kwanza!
Hauna haja ya kukwepesha mada na msimamo wako ... ila inasikitisha sana kuona hata wewe tukudhaniaye ni CCM kindakindaki unatetea huu upuuzi; ni kwa maslahi yako binafsi au nawe ni pandikizi? I see, now iko wazi tuko compromised big time!! Its time now vyombo vya dola vikaendelea na ile operation ya JK kuondoa haya magugu, tusipokuwa makini tutakuja kuula wa chuya!
 
Nijibu kwanza swali nililokuuliza, Mtanzania ni yupi? Aliyezaliwa baada ya 1961, '64 au kabla ya hapo? Na je waliozaliwa kabla? Vipi kuhusu Wamasai Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu Wamakonde waishio Mtwara waliohamia ktk Msumbiji Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu wanaojiita Wanyamwezi ambao sehemu kubwa walihamia Unyanyembe (Tabora) kutoka Baganda (Uganda na Unyarwanda ya leo hii)?
Vipi Wahindi ambao walizaliwa wakati wa Bristish East Afrika Utanzania wao?

Ninachomaanisha kwako wewe Mtanzania ni yupi? Utanzania unaupimaje?
Pambafu, umekalisha makalio hapo Lumumba kumbe hujui sifa ya kuwa Mtanzania?
 
Migration wako katika usingizi Mzito sana sana Wanyarwanda ni Tishio la Usalama kabisa tofauti na wakenya wanaoletwa na shida zao za Tumbo ila Wanyarwanda ni wakuangalia kwa Jicho la tatu ni waminifu hata makazi wapo sana na hunyenyekea wafikie nafasi za Juu ili kupata access ya info fulani
 
Back
Top Bottom