Wanajamvi
Hili suala linatisha. Mimi ni member wa sehemu moja maarufu hapa Jijini. Ni sehemu ya Kula. Mnamo tarehe 31 May 2017 jioni, nilikaa meza Jirani na wakenya kama watano hivi wanaume wanne na mwanamke mmoja. Mara baada ya dakika kadhaa, alikuja jamaa mmoja aliyejumuika nao. Takriban dakika 30 baadae Yule jamaa kufika, alitoa rundo la Pasi ZA kusafiria ZA kitanzania ambazo hawa wakenya waligawiwa. Bila kupoteza muda, wakenya walitoa mfuko mweusi wa plastiki na kumkabidhi hawa jamaa na ghafla kuondoka. Nilitamani kujua kwamba zile pasi mpya zilikuwa za nini?
Sikufanikiwa ila, nilifanikiwa kuongea na mmoja wa hawa wakenya, ambaye pamoja na lafudhi yake aliniambia yeye ni mchaga wa Tarakea. Hawa Jirani zetu wananunua ardhi kwa kasi ya kutisha kutumia vitambulisho vya kitanzania. Wanajiita watanzania. Wanyarwanda pia hivyo hivyo. Ofisini kwetu kuna mdada mnyarwanda pia mwenye Pasi ya Tanzania anajiita muangaza. Nadhani kuna tishio kubwa mbeleni utakaotokana na watu kujizolea hizi passport za kutanzania
Hili suala linatisha. Mimi ni member wa sehemu moja maarufu hapa Jijini. Ni sehemu ya Kula. Mnamo tarehe 31 May 2017 jioni, nilikaa meza Jirani na wakenya kama watano hivi wanaume wanne na mwanamke mmoja. Mara baada ya dakika kadhaa, alikuja jamaa mmoja aliyejumuika nao. Takriban dakika 30 baadae Yule jamaa kufika, alitoa rundo la Pasi ZA kusafiria ZA kitanzania ambazo hawa wakenya waligawiwa. Bila kupoteza muda, wakenya walitoa mfuko mweusi wa plastiki na kumkabidhi hawa jamaa na ghafla kuondoka. Nilitamani kujua kwamba zile pasi mpya zilikuwa za nini?
Sikufanikiwa ila, nilifanikiwa kuongea na mmoja wa hawa wakenya, ambaye pamoja na lafudhi yake aliniambia yeye ni mchaga wa Tarakea. Hawa Jirani zetu wananunua ardhi kwa kasi ya kutisha kutumia vitambulisho vya kitanzania. Wanajiita watanzania. Wanyarwanda pia hivyo hivyo. Ofisini kwetu kuna mdada mnyarwanda pia mwenye Pasi ya Tanzania anajiita muangaza. Nadhani kuna tishio kubwa mbeleni utakaotokana na watu kujizolea hizi passport za kutanzania