Wakenya na Passpoti za Tanzania

Wakenya na Passpoti za Tanzania

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,283
Wanajamvi
Hili suala linatisha. Mimi ni member wa sehemu moja maarufu hapa Jijini. Ni sehemu ya Kula. Mnamo tarehe 31 May 2017 jioni, nilikaa meza Jirani na wakenya kama watano hivi wanaume wanne na mwanamke mmoja. Mara baada ya dakika kadhaa, alikuja jamaa mmoja aliyejumuika nao. Takriban dakika 30 baadae Yule jamaa kufika, alitoa rundo la Pasi ZA kusafiria ZA kitanzania ambazo hawa wakenya waligawiwa. Bila kupoteza muda, wakenya walitoa mfuko mweusi wa plastiki na kumkabidhi hawa jamaa na ghafla kuondoka. Nilitamani kujua kwamba zile pasi mpya zilikuwa za nini?

Sikufanikiwa ila, nilifanikiwa kuongea na mmoja wa hawa wakenya, ambaye pamoja na lafudhi yake aliniambia yeye ni mchaga wa Tarakea. Hawa Jirani zetu wananunua ardhi kwa kasi ya kutisha kutumia vitambulisho vya kitanzania. Wanajiita watanzania. Wanyarwanda pia hivyo hivyo. Ofisini kwetu kuna mdada mnyarwanda pia mwenye Pasi ya Tanzania anajiita muangaza. Nadhani kuna tishio kubwa mbeleni utakaotokana na watu kujizolea hizi passport za kutanzania
 
Wanajamvi
Hili swala linatisha. Mimi ni member wa sehemu moja maarufu hapa Jijini. Ni sehemu ya Kula. Mnamo tarehe 31 May 2017 jioni, nilikaa meza Jirani na wakenya kama watano hivi wanaume wanne na mwanamke mmoja. Mara baada ya dakika kadhaa, alikuja jamaa mmoja aliyejumuika nao. Takriban dakika 30 baadae Yule jamaa kufika, alitoa rundo la Pasi ZA kusafiria ZA kitanzania ambazo hawa wakenya waligawiwa. Bila kupoteza muda, wakenya walitoa mfuko mweusi wa plastiki na kumkabidhi hawa jamaa na ghafla kuondoka. Nilitamani kujua kwamba zile pasi mpya zilikuwa za nini?

Sikufanikiwa ila, nilifanikiwa kuongea na mmoja wa hawa wakenya, ambaye pamoja na lafudhi yake aliniambia yeye ni mchaga wa Tarakea. Hawa Jirani zetu wananunua ardhi kwa kasi ya kutisha kutumia vitambulisho vya kitanzania. Wanajiita watanzania. Wanyarwanda pia hivyo hivyo. Ofisini kwetu kuna mdada mnyarwanda pia mwenye Pasi ya Tanzania anajiita muangaza. Nadhani kuna tishio kubwa mbeleni utakaotokana na watu kujizolea hizi passport za kutanzania


Mtanzania ni nani? Tuanzie hapo kwanza, usisahahu hii Nchi tunayoiita Tanzania ina miaka 55 tu, hivyo ina maana mtu yoyote aliyezaliwa kabla ya hapo, Uraia wake una utata, na hii inaweza kukugusa hata wewe au ndugu zako wa karibu!
 
Mtanzania ni nani? Tuanzie hapo kwanza, usisahahu hii Nchi tunayoiita Tanzania ina miaka 55 tu, hivyo ina maana mtu yoyote aliyezaliwa kabla ya hapo, Uraia wake una utata, na hii inaweza kukugusa hata wewe au ndugu zako wa karibu!

Mkuu hili swala siyo la kuletea ushabiki wa kichama. Mimi CCM kama wewe, sema tofauti silipwi elfu 7 kuandika kama wewe. Natetea taifa.....tumevamiwa na wakenya, wachina na wanyarwanda
 
Mkuu hili swala siyo la kuletea ushabiki wa kichama. Mimi CCM kama wewe, sema tofauti silipwi elfu 7 kuandika uharo kama wewe. Natetea taifa.....tumevamiwa na wakenya, wachina na wanyarwanda
Tena hii speed ya wachina ni hatari sana na wanajifunza lugha ya kiswahili kwa haraka sana. Nadhani wangekuja kama wawekezaji ila sio wafanyabiashara ndogo ndogo. Hizi kazi watuachie wabongo.
 
Mkuu hili swala siyo la kuletea ushabiki wa kichama. Mimi CCM kama wewe, sema tofauti silipwi elfu 7 kuandika uharo kama wewe. Natetea taifa.....tumevamiwa na wakenya, wachina na wanyarwanda


Nijibu kwanza swali nililokuuliza, Mtanzania ni yupi? Aliyezaliwa baada ya 1961, '64 au kabla ya hapo? Na je waliozaliwa kabla? Vipi kuhusu Wamasai Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu Wamakonde waishio Mtwara waliohamia ktk Msumbiji Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu wanaojiita Wanyamwezi ambao sehemu kubwa walihamia Unyanyembe (Tabora) kutoka Baganda (Uganda na Unyarwanda ya leo hii)?
Vipi Wahindi ambao walizaliwa wakati wa Bristish East Afrika Utanzania wao?

Ninachomaanisha kwako wewe Mtanzania ni yupi? Utanzania unaupimaje?
 
Wanyarwanda pia hivyo hivyo. Ofisini kwetu kuna mdada mnyarwanda pia mwenye Pasi ya Tanzania anajiita muangaza. Nadhani kuna tishio kubwa mbeleni utakaotokana na watu kujizolea hizi passport za kutanzania


Lile shirikisho la wenye utayari lilipandikiza vimelea vibaya visivyoonekana kwa macho ya kawaida hapa kwetu
 
Nijibu kwanza swali nililokuuliza, Mtanzania ni yupi? Aliyezaliwa baada ya 1961, '64 au kabla ya hapo? Na je waliozaliwa kabla? Vipi kuhusu Wamasai Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu Wamakonde waishio Mtwara waliohamia ktk Msumbiji Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu wanaojiita Wanyamwezi ambao sehemu kubwa walihamia Unyanyembe (Tabora) kutoka Baganda (Uganda na Unyarwanda ya leo hii)?
Vipi Wahindi ambao walizaliwa wakati wa Bristish East Afrika Utanzania wao?

Ninachomaanisha kwako wewe Mtanzania ni yupi? Utanzania unaupimaje?
Unajua hii nchi watu wamefundishwa chuki,fitina na uhasidi,hii nchi haitiendelea tusipo badilika,ukifika namanga upande wa kenya mtanzania unagongewa miezi tatu hata sita ukitaka ,kwetu mkenya anapewa mwisho siku saba mimi sielewi tuliingia E.A.C kwa nini,toka mwalimu kulikuwa na kipindi maalum ya majungu ilikuwa inaitwa Mikingamo,sasa vizazi vilivyo fuata vimekuwa ni chuki,wivu,fitina na uhasidi dhidi ya walionacho,kwani ardhi wakinunua na wewe siununue kama unaweza?penda usipende dunia inabadilika na kama mnataka viwanda sheria ya ardhi lazima itabadilika kama dunia ingine,hivi ardhi ya tanzania inathamani kuliko dunia ingine?mbona marekani,canada,uk nk watu wanaruhusiwa kununua ardhi,hii ni chi pekee watu wanakaa kwenye kahawa kubishania mpira,siasa na mali ya watu.
 
Wanajamvi
Hili suala linatisha. Mimi ni member wa sehemu moja maarufu hapa Jijini. Ni sehemu ya Kula. Mnamo tarehe 31 May 2017 jioni, nilikaa meza Jirani na wakenya kama watano hivi wanaume wanne na mwanamke mmoja. Mara baada ya dakika kadhaa, alikuja jamaa mmoja aliyejumuika nao. Takriban dakika 30 baadae Yule jamaa kufika, alitoa rundo la Pasi ZA kusafiria ZA kitanzania ambazo hawa wakenya waligawiwa. Bila kupoteza muda, wakenya walitoa mfuko mweusi wa plastiki na kumkabidhi hawa jamaa na ghafla kuondoka. Nilitamani kujua kwamba zile pasi mpya zilikuwa za nini?

Sikufanikiwa ila, nilifanikiwa kuongea na mmoja wa hawa wakenya, ambaye pamoja na lafudhi yake aliniambia yeye ni mchaga wa Tarakea. Hawa Jirani zetu wananunua ardhi kwa kasi ya kutisha kutumia vitambulisho vya kitanzania. Wanajiita watanzania. Wanyarwanda pia hivyo hivyo. Ofisini kwetu kuna mdada mnyarwanda pia mwenye Pasi ya Tanzania anajiita muangaza. Nadhani kuna tishio kubwa mbeleni utakaotokana na watu kujizolea hizi passport za kutanzania
Passport hutolewa dirishani pale uhamiaji,ulitakiwa kutoa ripoti polisi haraka kwani passport kutolewa kwenye viroba inamaanisha si passport halali,muda wa kuongea nao ulipata lakini muda wa kutoa taarifa hukuwa nao,inaonekana unajua vizuri hii issue ila hutaki tu kufunguka na hili ndio tatizo la sisi Watanzania
 
Nijibu kwanza swali nililokuuliza, Mtanzania ni yupi? Aliyezaliwa baada ya 1961, '64 au kabla ya hapo? Na je waliozaliwa kabla? Vipi kuhusu Wamasai Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu Wamakonde waishio Mtwara waliohamia ktk Msumbiji Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu wanaojiita Wanyamwezi ambao sehemu kubwa walihamia Unyanyembe (Tabora) kutoka Baganda (Uganda na Unyarwanda ya leo hii)?
Vipi Wahindi ambao walizaliwa wakati wa Bristish East Afrika Utanzania wao?

Ninachomaanisha kwako wewe Mtanzania ni yupi? Utanzania unaupimaje?
Unapimwa kwa kuzaliwa pamoja na wazazi wako.
 
Unajua hii nchi watu wamefundishwa chuki,fitina na uhasidi,hii nchi haitiendelea tusipo badilika,ukifika namanga upande wa kenya mtanzania unagongewa miezi tatu hata sita ukitaka ,kwetu mkenya anapewa mwisho siku saba mimi sielewi tuliingia E.A.C kwa nini,toka mwalimu kulikuwa na kipindi maalum ya majungu ilikuwa inaitwa Mikingamo,sasa vizazi vilivyo fuata vimekuwa ni chuki,wivu,fitina na uhasidi dhidi ya walionacho,kwani ardhi wakinunua na wewe siununue kama unaweza?penda usipende dunia inabadilika na kama mnataka viwanda sheria ya ardhi lazima itabadilika kama dunia ingine,hivi ardhi ya tanzania inathamani kuliko dunia ingine?mbona marekani,canada,uk nk watu wanaruhusiwa kununua ardhi,hii ni chi pekee watu wanakaa kwenye kahawa kubishania mpira,siasa na mali ya watu.
Nchi nyingi duniani ardhi ni Mali ya mzawa tu kama akiwa mgeni basi mwekezaji pekee.
 
Unajua hii nchi watu wamefundishwa chuki,fitina na uhasidi,hii nchi haitiendelea tusipo badilika,ukifika namanga upande wa kenya mtanzania unagongewa miezi tatu hata sita ukitaka ,kwetu mkenya anapewa mwisho siku saba mimi sielewi tuliingia E.A.C kwa nini,toka mwalimu kulikuwa na kipindi maalum ya majungu ilikuwa inaitwa Mikingamo,sasa vizazi vilivyo fuata vimekuwa ni chuki,wivu,fitina na uhasidi dhidi ya walionacho,kwani ardhi wakinunua na wewe siununue kama unaweza?penda usipende dunia inabadilika na kama mnataka viwanda sheria ya ardhi lazima itabadilika kama dunia ingine,hivi ardhi ya tanzania inathamani kuliko dunia ingine?mbona marekani,canada,uk nk watu wanaruhusiwa kununua ardhi,hii ni chi pekee watu wanakaa kwenye kahawa kubishania mpira,siasa na mali ya watu.
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Mtanzania ni nani? Tuanzie hapo kwanza, usisahahu hii Nchi tunayoiita Tanzania ina miaka 55 tu, hivyo ina maana mtu yoyote aliyezaliwa kabla ya hapo, Uraia wake una utata, na hii inaweza kukugusa hata wewe au ndugu zako wa karibu!
Tuanza na wewe ni utaifa wako nani?
 
jamani yooote lakini Mnyarwanda si Mtanzania
na huli aambiwe kabisa Magufuli
hii Nchi tutawauzia hawa wageni
nawashukuru sana waliombana huyo Mwanasheria wa TBS
lm kuna wengine huko Rombo hebu muarifunu UGP tuanze wafumua
Hii ni Nchi ya Vizazi vitatu nyuma nyuma kabla ya UHURU ndio MTANZANIA
 
Mkuu hili swala siyo la kuletea ushabiki wa kichama. Mimi CCM kama wewe, sema tofauti silipwi elfu 7 kuandika uharo kama wewe. Natetea taifa.....tumevamiwa na wakenya, wachina na wanyarwanda
Safi sana ,wakati mwingine tusifimbie macho hoja za hovyo.
 
s
Nijibu kwanza swali nililokuuliza, Mtanzania ni yupi? Aliyezaliwa baada ya 1961, '64 au kabla ya hapo? Na je waliozaliwa kabla? Vipi kuhusu Wamasai Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu Wamakonde waishio Mtwara waliohamia ktk Msumbiji Utanzania wao unaupimaje? Vipi kuhusu wanaojiita Wanyamwezi ambao sehemu kubwa walihamia Unyanyembe (Tabora) kutoka Baganda (Uganda na Unyarwanda ya leo hii)?
Vipi Wahindi ambao walizaliwa wakati wa Bristish East Afrika Utanzania wao?

Ninachomaanisha kwako wewe Mtanzania ni yupi? Utanzania unaupimaje?

Swali la kipuuzi kwa hoja ya maana,je umejiuliza kwa nini watanzania halisi wachukulie paspoti zao ugenini tena mahali pasipo ofisi ya serikali? au muuliza swali ni sehemu ya waliofaidika na uovu huu
 
Back
Top Bottom