Wenzetu kenya ni wabufu kweli kweli siyo comedy za kibongo wanaigiza mambo ya kipwani tuuu! Na kuigiza ziara na hotuba za viongozi wetu.
Wabongo hawavai uhalisia kabisa yani.
Nawapenda sana wakenya they are creative...even if they do copy and paste it doesn't matter,they never give up,they fear nothing and they regreat less.