waKenya mnavyowaambia wabongo hawasikilizi nyimbo zenu huwa mnashirikisha ubongo wenu

Kama inachezwa mbona usiitoe kama mfano unatoa Ile ngoma iliyodharauliwa?

Maana yangu ni kwamba,kama unafanya vizuri utakubalika tu wala hakuna mchawi wa kutafuta.

Simply hao wengine hatuwajui sababu hawako serious,hakuna lele kwenye sanaa zaidi ya bidii,sasa wanatafuta huruma ya stations zao badala ya kiwekeza bidii,na nyinyi hutuaminisha mkenya ni mtu wa bidii.
 
Wamelalamikia hao wote ila walioumia zaidi ni Wabongo. Wanaijeria hata wametusupport wakasema nchi lazima ikuze mziki wao. Wenye machungu tu ni wabongo - sijui ni kwa vile top musicians wa Bongo wamejengeka Kenya ama ni ile inferiority complex yao ya kawaida. Lakini nadhani pia hilo la soko muhimu linachangia maanake wasanii Wabongo hutengeneza hela nyingi Kenya kuliko bongo. Bila Kenya bongo hakuna msanii atajengeka.
Wanaijeria wapi wame support??
 
Hii ndo nyimbo bora ya Kenya kwa mwaka 2018. 😁


Sasa unashangaaje hawa watu ambao wameweza kushabikia Ngoma za kuku kapanda baskeli toka enzi kushabikia upupu wa lamba lolo! Hapa ndipo walipofikia hata wa mwisho darasani ana mchango wake katika kumfanya wa kwanza asifiwe.
 
Back
Top Bottom