Wakenya Buana!!!

Wakenya Buana!!!

Mambo tunayoweza kuyafanya bila hata kuambiwa
1. Uchawi
2. Wivu na chuki
3. Fitna na majungu kazini
4. Umbea na kufuatilia maisha ya watu wengine
5.Ukuwadi na umalaya
 
Mimi ni flat screen halafu hiyo avatar tu
Daah basi ushanikosa flat screen hata nikijiiba ubandani kwenda kuangalia yaliyomo yamo nikikutwa na mama Bhoke ambaye yeye ni Chogo atashindwa kunipikia 'uuchi' wa moto mura!
 
Inamaana hizo gene za kukimbia sana Tanzania hamuna? Ni ajabu.
Lazima zipo, kwenye hizi mbio za masafa marefu sanasana wanaokimbia wanatoka kwenye jamii za wafugaji, kama wairaki na wamaasai.
 
Back
Top Bottom