Wake zetu acheni Roho mbaya!

Wake zetu acheni Roho mbaya!

Copy mtumie mkeo, au kamsomee kabisa.
 
Mnaohalalisha michepuko katika uzi huu Mungu Anawaona!
 
Najua kabisa mna kipaji maalum mmepewa na Mungu cha kutufahamu sisi watoto waume zenu watoto tuliozaliwa na wanawake wenzenu mna uwezo nguvu za kipekee mlizajaaliwa na Mungu ila hamtaki kuzitumia kwa manufaa ya wote!

Mmekuwa wabinafsi kupitiliza, mnatuona kabisa waume zenu tunahangaika na michepuko huko nje naamini sababu mnaijua ila ubinafsi umewatawala na rohombaya mnataka kuwa peke yenu kwenye nyumba wakati mnajua kabisa kuna vitu nyie hamnavyo ila wanawake wenzenu huko nje wanavyo kwa nini msitusaidie kutafuta?

Kwa mfano we unajua kabisa mumeo kakupendea sura yako nzuri lakini jirani yako hajaolewa ila ana chura! Kwanini usinishauri nimuoe ili mumeo niridhike nisitoke nje ya ndoa?

Hebu fikirieni hili swala Hii Dunia sasa hivi kila mwanamke angemshauri mumewe kungekuwa na michepuko kweli? BADILIKENI.....Kwa taarifa yenu michepuko inafaidi kuliko hata nyie mliopo ndani.
Marriage ni sacrifise ndugu yangu if ya want to have em all at a time be single; be free
 
Mungu hajakataza kuoa wake wengi....Ila amekataza Uzinifu Yaani ngono inayotetewa na baadhi ya watu humu!
Sijasema kua imekatazawa kuoa wake wengi ila ya mfano mie nimwambie mumewangu nenda kamuoe yule,niwe mkweli tuu moyoo huo sina..
 
Sijasema kua imekatazawa kuoa wake wengi ila ya mfano mie nimwambie mumewangu nenda kamuoe yule,niwe mkweli tuu moyoo huo sina..
Hapo sawa! Ila mi lengo langu sio baya na wala sio lazima umshauri....
 
Una uhakika atakuwa halijui hili?
Kama analijua ni vizuri, nae akihitaji kuwa na mchepuko mruhusu tuu maana hata nae anakuvumilia tu maana haujakamilika kwa vigezo vyooooote.
 
Nilidhan unaongea vitu vya maana kumbe ujinga...... Kama mkeo hakufaid ni wewe, wenzio tunafaidi hadi tunaona kama tulichelewa kuolewa.
 
Kama analijua ni vizuri, nae akihitaji kuwa na mchepuko mruhusu tuu maana hata nae anakuvumilia tu maana haujakamilika kwa vigezo vyooooote.
Hayo ni makubalieni yetu mimi na yeye wala usiumize kichwa...
 
Nilidhan unaongea vitu vya maana kumbe ujinga...... Kama mkeo hakufaid ni wewe, wenzio tunafaidi hadi tunaona kama tulichelewa kuolewa.
Mi naweza kuwa mjinga lakini povu lako linanipa matumaini kuwa message sent......Kumwita mtu mjinga lazima kuna kitu umejifunza hapo.
 
Nawaambia tu wale mnaotokwa mapovu hapa,kabla sijaandka hii mada nilitegemea matusi zaidi ya haya mlioandika hapa! Ila Ukweli siku zote humuweka mtu Huru......
 
Back
Top Bottom