Wake zetu acheni Roho mbaya!

Wake zetu acheni Roho mbaya!

Ungechagua weee mpk ukapata mwenye sifa zote unazozipenda then ndo ungeoa mana mpk hapa inaonyesha hujatosheka bado na ulie nae una macho ya kuangalia wengne... Utamaliza bucha babu weeeee...
 
Nimeanza kusoma comments kabla ya uzi, nikaoma mapovu kibao.........
Ebu ngoja nirudi juu nikasome kwanza
 
unalotaka mkeo akufanyie na wewe mfanyie hivyo hivyo... nyumba ijae wanaume na wanawake wengi ila waliooana.. uone kama haitafika muda kama wenyewe wanaume hamjatamaniana..!
 
Hamridhikagi nyie, Utamaliza mtaa mzima!!! Mana Hata huyo mwenye chura nae Ana mapungufu yake
 
naomba kuuliza, hivi njaa imeisha huko Tanzania.
 
Najua kabisa mna kipaji maalum mmepewa na Mungu cha kutufahamu sisi watoto waume zenu watoto tuliozaliwa na wanawake wenzenu mna uwezo nguvu za kipekee mlizajaaliwa na Mungu ila hamtaki kuzitumia kwa manufaa ya wote!

Mmekuwa wabinafsi kupitiliza, mnatuona kabisa waume zenu tunahangaika na michepuko huko nje naamini sababu mnaijua ila ubinafsi umewatawala na rohombaya mnataka kuwa peke yenu kwenye nyumba wakati mnajua kabisa kuna vitu nyie hamnavyo ila wanawake wenzenu huko nje wanavyo kwa nini msitusaidie kutafuta?

Kwa mfano we unajua kabisa mumeo kakupendea sura yako nzuri lakini jirani yako hajaolewa ila ana chura! Kwanini usinishauri nimuoe ili mumeo niridhike nisitoke nje ya ndoa?

Hebu fikirieni hili swala Hii Dunia sasa hivi kila mwanamke angemshauri mumewe kungekuwa na michepuko kweli? BADILIKENI.....Kwa taarifa yenu michepuko inafaidi kuliko hata nyie mliopo ndani.
Andiko hili linasadifu mateso anayopitia mkeo humo ndani ya nyumba yako,kama Mungu na ujuzi wake woote alishindwa kumuumba binaadamu mkamilifu basi fahamu hakuna kitakachokamilika katika maisha yako ukawa na vyote, Shukuru Mungu kama una mke mwenye akili,upendo,msikivu na mvumilivu kwa maana sura sio roho,chura pia sio moyo
Jifunze kumthamini mkeo kwa mapungufu yake kwa maana hakuna binaadamu aliye kamilika
 
Nchi huru hii ni vema uoe huyo mwenye chura uridhishe moyo wako, ambae hana chura mwache kuna wanaomtafuta usimpotezee mda
 
Nimeanza kusoma comments kabla ya uzi, nikaoma mapovu kibao.........
Ebu ngoja nirudi juu nikasome kwanza
Na bado kuna mengine yapo njiani mkuu! Ukweli siku zote humuweka mtu Huru.......
 
unalotaka mkeo akufanyie na wewe mfanyie hivyo hivyo... nyumba ijae wanaume na wanawake wengi ila waliooana.. uone kama haitafika muda kama wenyewe wanaume hamjatamaniana..!
Ili Mradi Ndoa Halali...Hakuna namna.
 
Ungechagua weee mpk ukapata mwenye sifa zote unazozipenda then ndo ungeoa mana mpk hapa inaonyesha hujatosheka bado na ulie nae una macho ya kuangalia wengne... Utamaliza bucha babu weeeee...
Michepuko Inatokea wapi? Mkiwa nje ya ndoa ruksa kulala na waume za watu.mkiolewa mnabania wenzenu.....
 
Ungechagua weee mpk ukapata mwenye sifa zote unazozipenda then ndo ungeoa mana mpk hapa inaonyesha hujatosheka bado na ulie nae una macho ya kuangalia wengne... Utamaliza bucha babu weeeee...
Swala la kutosheka tutaongopeana tu! Ingekuwa hivyo hata nyie msingechepuka..........
 
Na wewe kwanini usimsaidie mkeo kutafuta mwenye muonekano mzuri aliekuzidi?
 
wewe ulishawai mshauri? maana kuna vitu huna jirani anavyo mshauri mke wako japo amvulie chupi jirani.
 
Back
Top Bottom