Wake za watu

Kwenye RED, ni vyema na haki ukajua umuhimu wa kuedeleza majadiliano. Hivi fikiria unafungua siku moja JF na usikute mtu hata mmoja ameandika chochote utajisikiaje? Je, utafungua pia JF? Hivyo mtu yeyote anayefungua huu mtandao jua anafurahia maoni yako, ya yule na yangu pia. Bila kuchangia hakuna mtandao. Kwa umri wangu mdogo nilio nao, nikijaribu kupembua kuna watu wa JF ambao wanatunga hadithi, wengine kuna aina fulani ya uhalisia. Niishie hapa katika majadiliano yetu kwa kuwapongeza wewe na FP kwa uhalisia.
 
Sio kweli wapo wake wanaojiheshimu sana na uwezi kuwaeleza upuuzi ukaenda nao sawa, inategemea huyo mke we mwenyewe ulimpata vipi na ulikutana naye wapi, kama ni vodafasta lazima umegewe.

Tafadhali jipe muda wa kufanya utafiti zaidi katika hili. Kwa ufupi, natofautiana kwa kiwango kikubwa na maandishi yako
 

Utawajua tu
 
Kama ni mwanamke ULIYEOLEWA ukikutana na mvulana ambaye KAOA au HAJAOA ukae ukijua kuwa unapomvulia nguo ANAKUDHARAU. Hata kama atkuhakikishia ya kuwa anakupenda sana ATAKUDHARAU TU
 
Kama ni mwanamke ULIYEOLEWA ukikutana na mvulana ambaye KAOA au HAJAOA ukae ukijua kuwa unapomvulia nguo ANAKUDHARAU. Hata kama atkuhakikishia ya kuwa anakupenda sana ATAKUDHARAU TU

ha h aha kwani nikidhauriwa na mtu ambaye najua size ya dushelele lake tatizo lipo wapi?

na nani kakwambia watu tunajali kupendwa? mapenzi yenyewe yalisharudi kwao siku hizi maana hayapo.

watu tunajipoza tu wewe, na pia akinidharau yeye basi pia kuna anayemdharau mkewe.

wanawake wa siku hizi tumeshapinda, tutanyooka tu maybe yesu akirudi
 
Kama ni mwanamke ULIYEOLEWA ukikutana na mvulana ambaye KAOA au HAJAOA ukae ukijua kuwa unapomvulia nguo ANAKUDHARAU. Hata kama atkuhakikishia ya kuwa anakupenda sana ATAKUDHARAU TU

sorry hapo kwenye RED.

Mtu aliyeoa si mvulana ni mwanaume na pia wake wengi za watu tunapenda wanaume and not wavulana.
 
hii ndoa yako unavoifanya? ila kumbuka mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!
 
hii ndoa yako unavoifanya? ila kumbuka mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!

mbona ndoa nyingi zipo hivyo na hazijabomoka wewe1


kwa taarifa yako wake wengi wanamegwa nje tena sanaaaaaaa tu wakirudi ndani ni best wives.

hata mie ni pretender namba moja!

ndoa status tu kwangu, kwahiyo siwezi kuivunja best.

mwanamke mpumbavu ni yule anayemegwa nje na kufumaniwa.
 

Na yeye kaoa au yupo yupo bado?
Anyways, wewe ndio uliyevaa hiyo 'skuna', unajua haswa wapi inabana. Sisi wa nje tunawezaje kusema hakikubani? Maisha ya ndoa ni mtihani haswa....Kuna mwingine alikuwa akirudi anamwambia mkewe,...husikii perfume inanukia? Mbona huulizi ya nani? Hii ni ya 'fulani' bwana.....Mbaya zaidi anakuja naye anamuacha kwenye gari, anaingia ndani kuoga, kisha huyoo....viwanja.
 


hiyo kali,mie hawezi kumleta home maana anajua bangi zangu ni za grade ipi nitmwagia ndoo ya mafuta au maji moto maana huo ni uchokozi.

jamaa yangu ameoa pia, mi sinaga time na mabachelor. N huyo hawara wa mume wangu pia ni muke ya mtu na watoto 3 juu.

cha ajabu naona hubby kapunguza kasi nje baada ya mie kuanzisha kasi nje.

yaani hata afanyaje haniumizi, nachojali ndoa iendelee tu atleast hadi watoto wawe wakubwa.
 
humu jf wa2 wajifanya waxafiii! na wanajipretend kama wadogo zake na bikra maria kumbe lol!! fatilia cv zao mtaani. mbaya hata uhouse grl/boy wakitafuta hawapati coz ya tabia chafu, kuna mmoja mnajua yuko humu jf bt let me keep scret.
 


Kama kasi inapunguzwa, labda huu ni wakati muafaka wa nyie kukaa kama kamati ili kuyaongea. Na muyaongee kweli kweli bila kuoneana haya, then muanze upya. Manake kwa kasi yenu mnaweza mkauana bure na msiweze hata kuona huo ukubwa wa watoto wenu mnaousubiri.
 

tutauana vipi? sema kila mmoja ataulia huko huko nje maana kwangu unyumba anapata tena akijituma sana na ninahakikisha anamalizia nje, asije nimwagia mimaji ya mahawara zake bure.

aka! kuyaongea amejaribu sana maybe nikimchoka huyu jamaa ndo nitafikiria kumfikiria
 
ahahaaa duh jamani?
 
kweli au unatania?
 


Aaah ayanda, kumbe yanaongeleka kabisa?! kama yeye ashaongea ni wewe tu kufanya maamuzi kama mnaanza upya or not. Looks like the ball is actually on your court, ni wewe tu kuamua uuchezeje.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…