Mkuu Si naskia sikuhizi mnashtaki tu police,hakuna mambo ya MarindaMkuu usione sifa... Utatendewa jambo ambalo litaacha vinywa vya watu wazi.
Nyie ndiyo mnafanya watu waonekane wabaya.
Ujasiri wa kuzoea wake za watu mnautoa wapi?
[HASHTAG]#nakuonya[/HASHTAG] mkuu... Hiyo tabia acha.
Kufanya kosa sio kosa bali kulirudia.
Usijesema hukuonywa
Mkuu nimesikia sikuhizi ni fidia,wala hawana mpango na TIGOSiku ya kufumaniwa
1.Aibu yake hutoibeba kamwe
2. Utahama kwa aibu kubwa
3. Usipokuwa na uwezo wa ku-handle stress utajiua
4.Utarekodiwa huku ukiwa unatoa miguno ya uchungu wa TiGo pesa
5. Mwenye mke anaweza akakuua kabisa.
-Achana na wake wa watu
-Usione sifa bwana mdogo
Acha kabla ya fedheha
Mimi najiuliza nyinyi watu mnapata wapi ujasiri cha kupambana na mambo matakatifu mpaka naogopa... Sijajua imani yako ila upo hatarini.Bwana bwana, Leo mwana Jf mngesikia nimechezea Koki live,
Ni mwezi tu,Toka nimehamia hapa nyumba ya kupanga,kuna Dada alitokea kunichangamkia sana,kwanza siku nafika tu alinisaidia kuingiza vyombo,pia Wakati napanga panga vifaa vyangu,akaniletea chakula cha mchana.
Basi siku zilivyozidi kwenda ikawa tunazoeana kwa kasi mpaka Hot kisses kwa sana..haha japo ni muke ya mwenyewe
Sasa jana usiku mida ya SAA nne,wakati anaenda kuoga nikamtania naomba nikakuogeshe,akaAccept offer,basi ile kazama bafuni nami pia nikazama,huku mmewe akiwa chumbani kwao.
Tukaanza Ku scratch CD kwa sana tu, ghafla Mmewe akagonga mlango kuwa nae anataka kuoga.. Hahaha aisee nilipigwa na butwaa,macho yalinitoka kuliko kawaida,
Dada inabidi amgomee,jamaa akakomaa na kuonesha msisitizo, dah Dada ikabidi amwambie maji amemaliza akachukue ndani ndoo ya maji mengine...
Kama Bahati jamaa akaenda ndani huku akijisemesha 'UNACHEZEA CHEZEA MAJI TU BILA MAANA'
mwanaume ilikuwa pona pona yangu,nlitoka kwa speed ya 'USAIN BOLT'. haha maana ningekutwa Leo ningekuwa nyama ya HAMU[emoji3] [emoji3] [emoji112] Bwana haya mambo yasikie tu kwa wengine
tatizo pepo linakufanya usifikirie mbali... yule mume ana machale acheni kucheza na risk kiasi hicho kisa mkojo umekubanaBasi umejiona bonge la mjanja kumchezea mke wa mtu, kumbe ndio hovyo kabisa.
Mambo mengine tujitafakari kabla ya kuyafanya!
Hii style yako ya kutafuta fame humu iko vizuri mkuu.Eti na huu uzi..empty set kabisa
HahahahahahaWanateka watu wenye akili wanawaacha vichaa...