Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,781
Rejeeni kichwa cha habari hapo juu!
Wengine ni mabachela, hatuna wake, tunaamka asubuhi tunapishana na ninyi kwenye korido mkiwa na khanga moko! Mnapotuona tu mnatulegezea khanga! Mara mloweshe khanga zenu mnapotoka kuoga, kisha kujifunga tena, halafu khanga zenyewe nyepesi!
Tukisema tukae kwenye milango yetu, na ninyi mnakaa vibaya kwenye milango yenu tunaona vya ndani!
Mnatugongea hodi vyumbani kwetu kutuomba chumvi ilhali mnafahamu fika waume zenu wako ndani!
Tukisema tukae nje, na nyinyi mnasogeza mabeseni yenu nje, mnatuinamia mbele yetu mnaanza kujifulisha nguo!
Tukivuta vi trako ndani, mnakuwa mnatugongea milango yetu kila mara halafu mnajiongelesha ujinga kiasi kwamba wageni wetu wanakosa amani huku ndani! Au mkijua ndani kina mgeni, nyumba nzima mnajikusanya koridoni mnaanza kucheka kinafki na kwa sauti!
Mnashindana kutuonesha maumbo yenu humu ndani! Bafuni hamfungii mlango, mnatutegeshea tunapokuwa kwenye plan za kuoga, na nyie chap na ndoo zenu, ili tukisukuma mlango tukutane na vya haramu!
Mwenzenu huku kaamsha khanga nzima kujifutia usoni, kabaki asalala! Muda huo mmewe anatoka ndani, amezua balaa hapa!
Mnasababisha mpaka nyuzi tunazotengeneza kuonekana ni chai, kumbe matukio ya kila siku huku Uswazi!
Sio kama hatutaki, ila reactions za waume zenu zinatutisha! Hakuna aliye na utayari na KY Jelly dada zetu, Leeni watoto wenu, muwatunze waume zenu!
Na sisi ni binadamu tu wadhaifu!
Wengine ni mabachela, hatuna wake, tunaamka asubuhi tunapishana na ninyi kwenye korido mkiwa na khanga moko! Mnapotuona tu mnatulegezea khanga! Mara mloweshe khanga zenu mnapotoka kuoga, kisha kujifunga tena, halafu khanga zenyewe nyepesi!
Tukisema tukae kwenye milango yetu, na ninyi mnakaa vibaya kwenye milango yenu tunaona vya ndani!
Mnatugongea hodi vyumbani kwetu kutuomba chumvi ilhali mnafahamu fika waume zenu wako ndani!
Tukisema tukae nje, na nyinyi mnasogeza mabeseni yenu nje, mnatuinamia mbele yetu mnaanza kujifulisha nguo!
Tukivuta vi trako ndani, mnakuwa mnatugongea milango yetu kila mara halafu mnajiongelesha ujinga kiasi kwamba wageni wetu wanakosa amani huku ndani! Au mkijua ndani kina mgeni, nyumba nzima mnajikusanya koridoni mnaanza kucheka kinafki na kwa sauti!
Mnashindana kutuonesha maumbo yenu humu ndani! Bafuni hamfungii mlango, mnatutegeshea tunapokuwa kwenye plan za kuoga, na nyie chap na ndoo zenu, ili tukisukuma mlango tukutane na vya haramu!
Mwenzenu huku kaamsha khanga nzima kujifutia usoni, kabaki asalala! Muda huo mmewe anatoka ndani, amezua balaa hapa!
Mnasababisha mpaka nyuzi tunazotengeneza kuonekana ni chai, kumbe matukio ya kila siku huku Uswazi!
Sio kama hatutaki, ila reactions za waume zenu zinatutisha! Hakuna aliye na utayari na KY Jelly dada zetu, Leeni watoto wenu, muwatunze waume zenu!
Na sisi ni binadamu tu wadhaifu!