lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,387
Bwana bwana, Leo mwana Jf mngesikia nimechezea Koki live,
Ni mwezi tu,Toka nimehamia hapa nyumba ya kupanga,kuna Dada alitokea kunichangamkia sana,kwanza siku nafika tu alinisaidia kuingiza vyombo,pia Wakati napanga panga vifaa vyangu,akaniletea chakula cha mchana.
Basi siku zilivyozidi kwenda ikawa tunazoeana kwa kasi mpaka Hot kisses kwa sana..haha japo ni muke ya mwenyewe
Sasa jana usiku mida ya SAA nne,wakati anaenda kuoga nikamtania naomba nikakuogeshe,akaAccept offer,basi ile kazama bafuni nami pia nikazama,huku mmewe akiwa chumbani kwao.
Tukaanza Ku scratch CD kwa sana tu, ghafla Mmewe akagonga mlango kuwa nae anataka kuoga.. Hahaha aisee nilipigwa na butwaa,macho yalinitoka kuliko kawaida,
Dada inabidi amgomee,jamaa akakomaa na kuonesha msisitizo, dah Dada ikabidi amwambie maji amemaliza akachukue ndani ndoo ya maji mengine...
Kama Bahati jamaa akaenda ndani huku akijisemesha 'UNACHEZEA CHEZEA MAJI TU BILA MAANA'
mwanaume ilikuwa pona pona yangu,nlitoka kwa speed ya 'USAIN BOLT'. haha maana ningekutwa Leo ningekuwa nyama ya HAMU[emoji3] [emoji3] [emoji112] Bwana haya mambo yasikie tu kwa wengine
Ni mwezi tu,Toka nimehamia hapa nyumba ya kupanga,kuna Dada alitokea kunichangamkia sana,kwanza siku nafika tu alinisaidia kuingiza vyombo,pia Wakati napanga panga vifaa vyangu,akaniletea chakula cha mchana.
Basi siku zilivyozidi kwenda ikawa tunazoeana kwa kasi mpaka Hot kisses kwa sana..haha japo ni muke ya mwenyewe
Sasa jana usiku mida ya SAA nne,wakati anaenda kuoga nikamtania naomba nikakuogeshe,akaAccept offer,basi ile kazama bafuni nami pia nikazama,huku mmewe akiwa chumbani kwao.
Tukaanza Ku scratch CD kwa sana tu, ghafla Mmewe akagonga mlango kuwa nae anataka kuoga.. Hahaha aisee nilipigwa na butwaa,macho yalinitoka kuliko kawaida,
Dada inabidi amgomee,jamaa akakomaa na kuonesha msisitizo, dah Dada ikabidi amwambie maji amemaliza akachukue ndani ndoo ya maji mengine...
Kama Bahati jamaa akaenda ndani huku akijisemesha 'UNACHEZEA CHEZEA MAJI TU BILA MAANA'
mwanaume ilikuwa pona pona yangu,nlitoka kwa speed ya 'USAIN BOLT'. haha maana ningekutwa Leo ningekuwa nyama ya HAMU[emoji3] [emoji3] [emoji112] Bwana haya mambo yasikie tu kwa wengine