Wake za watu katika nyumba za kupanga.

Wake za watu katika nyumba za kupanga.

watakatifu watajitokeza kukunanga ilhali wao watenda mabaya kuliko haya
 
watakatifu watajitokeza kukunanga ilhali wao watenda mabaya kuliko haya
Ww endelea kumdanganya jamaa tu. Hiyo stage aliyofikia ni ya hatari sana tena sana.
Huyo jamaa anabipu kifo, kilema cha maisha au kupigwa nyuma. Mshauri jamaa aoe tu
 
Naona marinda yako yanakaribia kutatuliwa acha wake za watu
 
Hilo linda linakuwasha mkuu,,acha maramoja kama unajipenda..karibia unachezea boroo young..
 
Aisee bora kachukue barmaid kuliko mke wa mtu, utato*mbwa kama huaminiamini ndo kuja kushangaa maRinda huna!!
Unajua uchungu wa mke wewe?
 
Mkuu nimecheka ile mbaya u made my evening aseeehh ila usisahau wahenga washa sema mke wa mtu sumu
 
Mkuu usione sifa... Utatendewa jambo ambalo litaacha vinywa vya watu wazi.
Nyie ndiyo mnafanya watu waonekane wabaya.
Ujasiri wa kuzoea wake za watu mnautoa wapi?

[HASHTAG]#nakuonya[/HASHTAG] mkuu... Hiyo tabia acha.
Kufanya kosa sio kosa bali kulirudia.

Usijesema hukuonywa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom