Kwa mapenzi hayo itakua 3some inahusika
Kwahiyo mpaka watoto mama kaenda kupata huko na ndiyo mwanzo wa watoto kuanza kufuatilia anafuataga mama yao huko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , mie maisha hayo hapana labda aniroge kwanza lakini mpaka aniroge duu kitaeleweka tuNimeshuhudia hili. inakuwa hivi,chumba cha kulala ni kimoja. siku ya zamu mke anaingia na mashuka yake chumbani anatandika na atalala kule kwa siku tatu, zikiisha anarudi kulala na watoto mwenzake naye anaingia kuendelea na zamu. mwenye zamu ndiye anaachiwa pesa ya mboga na atahudumia kwa siku hizo tatu.
Kwahiyo mpaka watoto mama kaenda kupata huko na ndiyo mwanzo wa watoto kuanza kufuatilia anafuataga mama yao huko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , mie maisha hayo hapana labda aniroge kwanza lakini mpaka aniroge duu kitaeleweka tu
Umeona mdogo wangu hii yahitaji ile hisia ya wivu iwe imekufa ganzi yaani haifanyi kazi hapo ndio inawezekana ila nje ya hapo hapana aiseee.mmmh ngumu kumeza
Sema wewe Kaka. Lazima wana sababu inayowafanya wakubaliane na maisha wanayoyaishi nje ya mapenzi.Ninachokiona hapo, ni kwamba hao wanawake wameamua kuishi kwa style hiyo ili tu siku ziende, huenda tu kwa sababu ya dhiki zao, na hapo walipo wanauhakika wa kuendesha maisha yao lakini sio kwa mapenzi ya dhati, nasema hivyo kwa sababu katika hali ya kawaida kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya kitu kama hicho, hata kwa mwanaume, naye atakuwa na shida kwenye ubongo wake.
Umeonaeee.Hata mi siwezi kwa kweli uwiiii mnaweza mkawekeana sumu ivi ivi
Itakuwa anageukia ukutani labda. Hahahaaa.Duhh kwahiyo usiku mke ambaye hana zamu (match) anaenda kulala sebleni au inakuwaje kuwaje hapo?
Hata kama,bado sauti atazisikia na kumpa ashkiItakuwa anageukia ukutani labda. Hahahaaa.
Itakuwa ana moyo wa kuzivumilia sababu sio hali ya kawaida hiyo.Hata kama,bado sauti atazisikia na kumpa ashki
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo mambo ya mathna,wathulatha warubaa' . khatar,sio kwa zama hizi za wivuItakuwa ana moyo wa kuzivumilia sababu sio hali ya kawaida hiyo.
Umeonaeee wivu unatakiwa uwepo bana. Na hiyo huwa inasababisha ikitokea mwanaume tu ana mwanamke mbali kabisa huko na ikigundulika tu roho inaweza kupaa sasa mambo ya kulala kitanda kimoja si hatari hiyo.[emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo mambo ya mathna,wathulatha warubaa' . khatar,sio kwa zama hizi za wivu
Usikute kaenda kuwatuliza kwa mganga[emoji1] [emoji1]Umeonaeee. Huwa ikitokea mwanaume tu ana mwanamke mbali kabisa huko na ikigundulika tu roho inaweza kupaa sasa mambo ya kulala kitanda kimoja si hatari hiyo.
Ila huenda kuna kitu amewafanyia kwa kweli sababu sio hali ya kawaida wivu ukosekane aiseee.
Inawezekana pia.Usikute kaenda kuwatuliza kwa mganga[emoji1] [emoji1]
Hata mtume hakulala na wakeze chumba kimoja[emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo mambo ya mathna,wathulatha warubaa' . khatar,sio kwa zama hizi za wivu
Hali ngumu,hana pesa ya kukodi nyumba nzimaInawezekana pia.
Ila Mungu anamuona aiseee. Sababu kuwalaza kitanda kimoja ni dhahiri kwamba amewadharau sana yaani.
Hakuna maarifa hapo mkuuNilipoenda Tabora kumtembelea mdogo wangu, nilistaajabu kushuhudia ninayoyasimulia leo.
Bwana mdogo kaanza karibuni maisha ya kujitegemea, kapanga chumba kimoja na sebule maeneo ya chemuchemu.
Pale pia kuna jamaa mmoja mpangaji mwenziye kapanga chumba na sebule lakini akiishi na wanawake wawili mitala kwa kutumia chumba kimoja.
Wake zake hao wanaishi kwa upendo mkubwa huku wakiitana dada. Kazi na hadi kula wanakula pamoja!
Ndugu zangu wataalamu wa saikolojia, jambo hili sijawahi kuliona popote Tz.
Maana kama ni ukewenza, ni lazima mwanaume awajengee nyumba zao tofauti, ama kama ni kupanga atawapangia nyumba tifauti.
Ni maarifa gani yanayosaidia mwanamme kuwamudu, kuweza kuishi nao kwa ukitumia chumba kimoja na wanawake wakaelewana kama kulwa na doto, kiasi cha kuwa ni mfano wa kuigwa?