FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Hapa tuna diskasheni gani?
Kupunguza idadi ya wake
Hapa tuna diskasheni gani?
Ni imani yako ambayo ni haki yako kuwa nayo. Lakini kwa wengine wana haki ya kuamini kuwa ndoa halali inaweza ya kuwa ya mke mmoja, au wengi hadi kufikia wake wanne ili mradi ilenge kukidhi mahitaji muhimu. Mfano mdogo wa kudhihirisha kudhihirisha Falsafa ya jambo hilo hebu fikiria mume ameoa mke lakini baada ya miaka fulani mke anapatwa na tatizo linalomfanya asiweze kujamiiana abadan, ama kukosa uzazi kabsaa. ili kujizua asizini na mume kwa mujibu wa sheria za kidini, ana ruksa ya kuongeza mke mwingine ili pia aweze kuongeza uzao wake.ndoa ni watu wawili, mwenye uke na mwenye uume...au labda nitumie lugha nyepesi ndoa ni muunganiko wa nafsi mbili tu, kukiwa na ndoa ya namna hiyo basi hakuna uzinzi zaidi ya hapo ni uzinzi ...period!
Ni imani yako ambayo ni haki yako kuwa nayo. Lakini kwa wengine wana haki ya kuamini kuwa ndoa halali inaweza ya kuwa ya mke mmoja, au wengi hadi kufikia wake wanne ili mradi ilenge kukidhi mahitaji muhimu. Mfano mdogo wa kudhihirisha kudhihirisha Falsafa ya jambo hilo hebu fikiria mume ameoa mke lakini baada ya miaka fulani mke anapatwa na tatizo linalomfanya asiweze kujamiiana abadan, ama kukosa uzazi kabsaa. ili kujizua asizini na mume kwa mujibu wa sheria za kidini, ana ruksa ya kuongeza mke mwingine ili pia aweze kuongeza uzao wake.
Tuambiane ukweli wake wengi starehe yake.............. matatizo yake .................
Ni imani yako ambayo ni haki yako kuwa nayo. Lakini kwa wengine wana haki ya kuamini kuwa ndoa halali inaweza ya kuwa ya mke mmoja, au wengi hadi kufikia wake wanne ili mradi ilenge kukidhi mahitaji muhimu. Mfano mdogo wa kudhihirisha kudhihirisha Falsafa ya jambo hilo hebu fikiria mume ameoa mke lakini baada ya miaka fulani mke anapatwa na tatizo linalomfanya asiweze kujamiiana abadan, ama kukosa uzazi kabsaa. ili kujizua asizini na mume kwa mujibu wa sheria za kidini, ana ruksa ya kuongeza mke mwingine ili pia aweze kuongeza uzao wake.
mi huwa namuona mpumbavu yule anaejua kabisa huyu mtu ana mke bt stil anakubali
Swala si kumuona mpumbavu bali ni hali ya kidunia kuna watu ambao madhehebu yao yanaruhusu kuoa hadi wake wanne, ukweli ni kwamba wanawake walio wengi wanaangalia maslahi zaidi na sio mapenzi, hata hivyo kuna maeneo nchini Tanzania ambayo swala la uke wenza ni la kawaida, labda tujiulize kule kwa wenzetu ulaya na marekani watu wanaoa wake zaidi ya mmoja?
Tuambiane ukweli wake wengi starehe yake.............. matatizo yake .................
Kwa nchi hii ninayoishi mimi(Western Europe ) endapo utagundulika umeoa mke zaidi ya mmoja adhabu yako ni jela miaka minne bila kujali kama imani ya dini yako inakuruhusu au la..Kama unataka biashara ya ukewenza siju umewenza hukohuko kwenu...
Western Europe sawa lakini katika Marekani kuna madhehebu yanayoruhusu mtu kuoa wanawake idadi aitakayo kulingana na hali yako kiuchumi, Madhehebu yanayoitwa MORMAN katika jiji la Salt Lake huko Utah madhehebu ambayo yameingia Tanzania kwa jina la Later Days Saints wao wanakuruhusu mradi uwe na uwezo wa kuwahudumia madhehebu mengine yanayoitwa Quacker wao pia wanaruhusu.
mbona mfalme suleman alikuwa nao kibao?
Ni imani yako ambayo ni haki yako kuwa nayo. Lakini kwa wengine wana haki ya kuamini kuwa ndoa halali inaweza ya kuwa ya mke mmoja, au wengi hadi kufikia wake wanne ili mradi ilenge kukidhi mahitaji muhimu. Mfano mdogo wa kudhihirisha kudhihirisha Falsafa ya jambo hilo hebu fikiria mume ameoa mke lakini baada ya miaka fulani mke anapatwa na tatizo linalomfanya asiweze kujamiiana abadan, ama kukosa uzazi kabsaa. ili kujizua asizini na mume kwa mujibu wa sheria za kidini, ana ruksa ya kuongeza mke mwingine ili pia aweze kuongeza uzao wake.