I wasted time, and now those time waste me
ningekueleza kama ungeuliza starehe ya wanaume wengi.....
1. Uhakika wa huduma 24/7*365 (Hamna kizuizi sijui cha uzazi au kwenda kwenye unajimu)Ngoja Asprin aamke aje atuelimishe.
Mimi nataka kujua faida ya waume wengi, plz
Na hizo kazi za nje mnazifanya na kina nani? Vivulana?wanaume bana....
Kumridhisha mwanamke mmoja tu kazi lakini mnajifanya vidume kuwa na wanawake wengi loh...... Ndo maana kazi za nje haziishi
1. Uhakika wa huduma 24/7*365 (Hamna kizuizi sijui cha uzazi au kwenda kwenye unajimu)
2. Uwezekano wa kupiga threesome (kwenda na wakati na utii wa sheria bila shuruti)
3. Kupata ladha tofauti wakati wowote bila kutongoza
4. Kusevu cost ya kuvihonga visista duu kama CUTE, charminglady ummu kulthum, Catherine, Blue G et el
5. Kupata sababu kwa urahisi zaidi za kufanya kazi za chama (Hapa Kaizer, Teamo, Fidel80, Bigirita, Kimey, RR na GY watakuwa wananielewa vizuri)
Need I say more au niwaachie wanachama wenzangu waje wataje zilizosalia?
Take it...grab it...and its yours!Faida ya wake wengi....
Kama hutaki 'usumbufu', unatoka kwa Mwa j unaaga waenda kwa Aisha, ukifika kwa Aisha unaaga Mwa j.....halafu unasepa kwenda kukesha kwa biya!
hahahahaa......hili ndo think tank la chama letu......@RRFaida ya wake wengi....
Kama hutaki 'usumbufu', unatoka kwa Mwa j unaaga waenda kwa Aisha, ukifika kwa Aisha unaaga Mwa j.....halafu unasepa kwenda kukesha kwa biya!
Na hizo kazi za nje mnazifanya na kina nani? Vivulana?
Kizuri tunakula na ndugu zetu bana!
Take it...grab it...and its yours!
We sema tu mpaka yote yaishe au ya uwongo hayo usemayo Asprin?1. Uhakika wa huduma 24/7*365 (Hamna kizuizi sijui cha uzazi au kwenda kwenye unajimu)
2. Uwezekano wa kupiga threesome (kwenda na wakati na utii wa sheria bila shuruti)
3. Kupata ladha tofauti wakati wowote bila kutongoza
4. Kusevu cost ya kuvihonga visista duu kama CUTE, charminglady ummu kulthum, Catherine, Blue G et el
5. Kupata sababu kwa urahisi zaidi za kufanya kazi za chama (Hapa Kaizer, Teamo, Fidel80, Bigirita, Kimey, RR na GY watakuwa wananielewa vizuri)
Need I say more au niwaachie wanachama wenzangu waje wataje zilizosalia?
namba 3 kiboko kha!1. Uhakika wa huduma 24/7*365 (Hamna kizuizi sijui cha uzazi au kwenda kwenye unajimu)
2. Uwezekano wa kupiga threesome (kwenda na wakati na utii wa sheria bila shuruti)
3. Kupata ladha tofauti wakati wowote bila kutongoza
4. Kusevu cost ya kuvihonga visista duu kama CUTE, charminglady ummu kulthum, Catherine, Blue G et el
5. Kupata sababu kwa urahisi zaidi za kufanya kazi za chama (Hapa Kaizer, Teamo, Fidel80, Bigirita, Kimey, RR na GY watakuwa wananielewa vizuri)
Need I say more au niwaachie wanachama wenzangu waje wataje zilizosalia?
Ngoja Asprin aamke aje atuelimishe.
Mimi nataka kujua faida ya waume wengi, plz
Duh!!!!1. utapata mikunjo tofauti tofauti, style tofauti na ladha tofauti zisizoisha hamu.....
2. utapata macare ya hali ya juu mchanganyiko....
3. utadeka utakavyo
4. ukiwa na malengo kama Natalia, ujue wallet yako haitokauka feha za madafu na madorali, tanki la mafuta mshale utakua kwenye F always na shopping hadi uote vigimbi vya miguu.....
5. stress free zone, maana mmoja akikuboa unageuka kwa mwingine, tupa huyu vuta yule
6. kuchagua mbegu ya mtoto unayetaka kuwa nae, pale utakapohitaji
7.
8.
nitarudi