ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Tuliwambia hawa wazalendo wa Africa waliopewa jina "waasi" sio kweli kama tunavyoaminishwa
Sisi tunaona huruma kuwa waasi wameteka mitaa, kumbe wananchi wa Congo DR ndo wanafanya sherehe asubuhi na jioni
Hii ni ajabu
Tukumbuke mapema wiki hii wazalendo wa M23 walitwaa mji wa Uvra Kwa kuwafukuza vikosi vya serikali
Baada ya kupewa amri na Trump kuwa watoke Uvra, Leo wananchi wamelalamika mno na kusema wao wanawahitaji M23
Wananchi wanasema M23 ni wazalendo na watu Wema kabisa, wanatenda haki, hawauwi raia, kuteka, na kuiba kama wafanyavyo vikosi vya serikali ya Congo DR
Umepata somo Gani Mtanganyika mwenzagu?
Sisi tunaona huruma kuwa waasi wameteka mitaa, kumbe wananchi wa Congo DR ndo wanafanya sherehe asubuhi na jioni
Hii ni ajabu
Tukumbuke mapema wiki hii wazalendo wa M23 walitwaa mji wa Uvra Kwa kuwafukuza vikosi vya serikali
Baada ya kupewa amri na Trump kuwa watoke Uvra, Leo wananchi wamelalamika mno na kusema wao wanawahitaji M23
Wananchi wanasema M23 ni wazalendo na watu Wema kabisa, wanatenda haki, hawauwi raia, kuteka, na kuiba kama wafanyavyo vikosi vya serikali ya Congo DR
Umepata somo Gani Mtanganyika mwenzagu?