Kulingana na taarifa ya Habari ya Jana ITV inaonyesha wazi mbunge wa Ukonga kupitia CCM amekata tamaa kabisa hana ushawishi, hana uwezo wa kulobby kwenye Serikali za mitaa, hana mvuto, hana ubunifu wa kutatua hata kero ndogo ndogo, hajawahi kukutana na wananchi wake kwa vikao vidogo vidogo kama wabunge wengine kama January Makamba wanavyofanya.
Kwa hiyo basi wana Ukonga wamelalamika sana kuhusu barabara inayotumiwa na Watu wengi ya kuanzia Mombasa mpaka Moshi Bar ilivyo mbaya kupita kiasi, hata leo hii ukienda kuona huwezi kupeleka gari yako ndogo utakoma na service yake maana ni mashimo makubwa ya Ajabu, Je kuchagua mbunge ambaye hana ushawishi ina maana hamuwezi kupata hata greda au kuwekewa kokoto kwa mwaka.
Hii ina maana basi wana ukonga tubadilike mwaka 2015.
La mwisho Namuomba huyu mbunge aje angalau kila kata mara mbili kwa mwaka kutatua kero za wananchi kwa kujadili na kuona mbinu gani zitumike ili kama anaona halmashauri ya Ilala haina jioya basi atuunge mkono tuandamane wiki nzima mfululizo bila kuacha maana hatuma maji ya dawasco hata tone tunatumia ya kuchimba, hatuna masoko mpaka uje buguruni, hatuna huduma nzuri ya mafundi wa Tanesco, Umeme kukatikatika, Mashimo ya taka n.k
CHADEMA MPO JIMBO HALINA KICHWA, KAZI KWENU. ZITTO INGAWA ILIFIKA MAZIZINI, NJOO UKONGA TENA NA DR SLAA
Kwa hiyo basi wana Ukonga wamelalamika sana kuhusu barabara inayotumiwa na Watu wengi ya kuanzia Mombasa mpaka Moshi Bar ilivyo mbaya kupita kiasi, hata leo hii ukienda kuona huwezi kupeleka gari yako ndogo utakoma na service yake maana ni mashimo makubwa ya Ajabu, Je kuchagua mbunge ambaye hana ushawishi ina maana hamuwezi kupata hata greda au kuwekewa kokoto kwa mwaka.
Hii ina maana basi wana ukonga tubadilike mwaka 2015.
La mwisho Namuomba huyu mbunge aje angalau kila kata mara mbili kwa mwaka kutatua kero za wananchi kwa kujadili na kuona mbinu gani zitumike ili kama anaona halmashauri ya Ilala haina jioya basi atuunge mkono tuandamane wiki nzima mfululizo bila kuacha maana hatuma maji ya dawasco hata tone tunatumia ya kuchimba, hatuna masoko mpaka uje buguruni, hatuna huduma nzuri ya mafundi wa Tanesco, Umeme kukatikatika, Mashimo ya taka n.k
CHADEMA MPO JIMBO HALINA KICHWA, KAZI KWENU. ZITTO INGAWA ILIFIKA MAZIZINI, NJOO UKONGA TENA NA DR SLAA