NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Ukija majengo utadhani kuna machimbo ya madini jinsi kulivyo na vumbi na ndio kuna wananchi wengi, hakuna hata dalili za kuisha matatizo, hakuna hata kituo cha afya.
PASUA ndio utadhani haiko kwenye manispaa ya Moshi, na kibaya zaidi ndiko anakotoka Meya wa manispaa ya Moshi Ndugu Jaffery. Kwa ambao hamjawahi kufika mtaona ni siasa ila natamani mabadiliko yafanyike ili wapiga kura wapate haki yao.
PASUA ndio utadhani haiko kwenye manispaa ya Moshi, na kibaya zaidi ndiko anakotoka Meya wa manispaa ya Moshi Ndugu Jaffery. Kwa ambao hamjawahi kufika mtaona ni siasa ila natamani mabadiliko yafanyike ili wapiga kura wapate haki yao.