manka1
Member
- Nov 4, 2014
- 13
- 25
Habari za asubuhi wanajamvi. Mm nimeona nitoe maoni kuhusu adha ya usafiri wanayoipata wakazi wa Mbagala. Kila mtanzania akitajiwa jina Mbagala anajua ni kuingilia madirishani kwa wasafiri wa Mbagala.
Kwa sasa hali ni mbaya kupindulia ulichukukulia mvua zinazonyesha, mitaro ya maji imebomolewa, mkandarasi anafanya anavyotaka muda wa asubuhi na jioni ambao magari ni mengi ndio wako bzy kufunga barabara.
Jamani kwa nini isitumike mbinu nyingine ambayowni rafiki kwa wasafiri
Kwanini wananchi wasitafutiwe njia mbadala
Ina maana hakuna anayeona jinsi walemavu, wanafunzi wanavyorundikana vituoni hadi usgku wa manane magari hakuna
Wahusika wanataka nn kitokee ndipo wachukue hatua?
Au wanataka mama kama mama atoke ikulu ndio aje asimamie hili
Hamjui kuna watoto wameshaacha shule kwa sababu ya adha hii
Namna gani wagonjwa na wanaokwenda kujifungua.
Najua la kufanyika lipo tafadhali wahusika akili itumike zaidi kuliko hali ilivyo sasa ili kuwanusuru wananchi wanaoteseka sana.
Kwa sasa hali ni mbaya kupindulia ulichukukulia mvua zinazonyesha, mitaro ya maji imebomolewa, mkandarasi anafanya anavyotaka muda wa asubuhi na jioni ambao magari ni mengi ndio wako bzy kufunga barabara.
Jamani kwa nini isitumike mbinu nyingine ambayowni rafiki kwa wasafiri
Kwanini wananchi wasitafutiwe njia mbadala
Ina maana hakuna anayeona jinsi walemavu, wanafunzi wanavyorundikana vituoni hadi usgku wa manane magari hakuna
Wahusika wanataka nn kitokee ndipo wachukue hatua?
Au wanataka mama kama mama atoke ikulu ndio aje asimamie hili
Hamjui kuna watoto wameshaacha shule kwa sababu ya adha hii
Namna gani wagonjwa na wanaokwenda kujifungua.
Najua la kufanyika lipo tafadhali wahusika akili itumike zaidi kuliko hali ilivyo sasa ili kuwanusuru wananchi wanaoteseka sana.


