Wakazi wa Dar badilikeni

Wakazi wa Dar badilikeni

Point of correction

Huyo scorpion hakumpora yule jamaa mchana kweupe Bali saa tano kasoro usiku ndio alifanyiwa ukatili huo

Pili nimeshuhudia mamia ya vijana wakichomwa moto na kuuliwa kwa kukwapua

Tatu huyo aliyekukwapulia labda ni mwenyeji ,anajulikana na hao wanaokutizama wanafahamiana kwa hyo kumuumbua jirani yao wanaona soo

Kwa jiji la Dar ukiitiwa mwizi umekwisha omba usijekupigiwa kelele za mwizi RAIA hawasikii utakufa, Mara kadhaa ninaona
 
Kumbe na wewe uki bado dar? sasa unalalamika nini onesha mfano
 
Mkuu pole sana aisee.....watu sikuhizi wanaishi hovyo hovyo tu hakuna anayejali sana kuhusu mwingine hususani hapo Dar es salaam. Pia naamini uoga "maandazi" ndio unafanya watu wawe wajinga wajinga.

Inawezekana vipi raia mwema akaibia na kuhatarishiwa uhai wake angali raia wengine wanaangalia? Ikifika hii hali ni hatari sana haina maana kuishi katika jamii ya namana hiyo kwasababu hawaheshimu uhai wao wanaona hata mtu akiuwawa mbele yao sawa tu. Mkuu pole sana kwa mara nyingine.....hakika ningekuwa hapo nisingekubali kuona ulilofanyiwa. Dhamira yangu isingeniruhusu niangalie tu.....ningekusaidia.

Watu wa Dar es salaam acheki mambo ya utengano. Huo ni udhaifu. Kuweni na spirit za kiharakati sio mnakuwa kama Kunguru.
 
Huku daslam watu wake kichefuchefu sana hata mm rafiki yangu alikabwa mchana saa sita kweupe,pembeni walikaa vijana hawakuamka kumsaidia ila baada ya vibaka kuondoka wanajisogeza kumuuliza kulikoni,aliwatia matusi na kuondoka
hahahah kweli wanaume wa dar ni shida pia mimi nimesikitika sana dah mtu mmoja watu wanamtolea macho hawatafuti hata silaha za jadi maana hata bunduki haaihitajiki looooooo kweli shame on them.
 
Kwanza kuwatofautisha wanaume wa Dar na dada zao labda uwaambie wavue nguo uangalie jinsia zao maana wote wanapaka mikorogo na lipstick
 
Na pia usisahau kua wanaume wa Dar 70% wana vitambi, na vijana wa kiume wa Dar ni ngumu kuwatofautisha kwakua woote hujiremba na kujipamba kama Mashoga.
 
Back
Top Bottom