Zanzibar haina watu wa asili wote ni wahamiaji (mabaharia) nikisiwa kilichotumiwa na wavuvi kupumzika, ndio maana Zanzibar haina wenyewe utasikia tu Wamakunduchi hao wanatoka Makunduchi mkoa wa Kaskazini, Wapemba wanatoka Pemba, Watumbatu kuna wanyamwezi ,Wamalawi,Wanyamwezi,Wakongo,Wangoni, Wakurya,Waarabu,Wacomoro,Wachina,Wahindi, Wazaramo,Wamakonde nk.