Wakatoliki hawana ubaguzi wako na rational judgment.

Wakatoliki hawana ubaguzi wako na rational judgment.

Angalia namna walivyomshangilia Kassim Majaliwa muislam na namna walivyoshangiliwa mwigilu na nchimbi wakatoliki. Mtazamo kwanini ilikuwa vile.
1. Mwigilu nchemba ni muovu binafsi toka kitambo.
2. Emmanuel Nchimbi ni mtu mwema ila anafunikwa na kivuli Cha Samia muovu.
Hakuna uchawa hapo.. Japo kuna mwana kamaindi vibaya sana
 
Back
Top Bottom